Hapa mtu anatafutwa apigwe ban nyingine kilichomfanya ahoji mkataba wa Jiesiemu na Tiefef, mwaka huu atakula jeuri yake.
Nakumbuka kama aliwahi kupongeza hayo mashindano na waandaji wake leo imekuaje tena!!
Mbona mbwembwe nyingi sana kwenye kufikisha ujumbe mkuu hii sio chai kweli wadau!!
Maana ukisoma kwa kutulia unaweza ukamuelewa zaidi ya alichoandika hapa!
Jamaa fulani ambao hawana longolongo kwenye ndoa wapambanaji sana kwenye familia zao kwao 1 ni 1 nyeupe ni nyeupe
Tabia unazomuona nazo kwenye uchumba hazitobadilika ni hizo hizo
Lakini usimbane sana kwenye ndoa mpaka akajua unambana mpe nafasi.
Nb. Sio wote lakini wengi wao wako fresh sana.
Dah! Yaani mimi niko maeneo tajwa hapo juu ila umri sasa khaaa! Nina 28.
Haya mama mimi nataka urafiki tu basi sitaki nikusumbue coz sijatimiza vigezo.
Kama hautajali tuwe marafiki tu!
Usiku nilipita YouTube nikaiona yaani nyimbo ina dk 2:42 lakini sikuzimaliza haovyo kabisa yaani unajua hovyo!!
Sikupata neno hata moja yaani kaimba kitu gani kile!!
Ni mwaka huu mwanzoni alipita mdada tulikuwa tumesimama sehemu na washkaji kama 4 hivi tunapiga story akapita mdada huyo mrembo huyo sijui kama wengine walimuona vizuri wakakaa kimya sijui mimi nilimuona juu mpaka chini jicho likagota kwenye zipu mrembo wa watu hajafunga zipu
Nikakamuita Dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.