Katika kuoa kuna kuoa kwa aina tatu
1 kijana anaona ana majukumu mengi ya kazi anaona anahitaji msaidizi km akute chakula kufuliwa nk
2 tamaa yaani wenzake wote wameoa anawafuata na pia tamaa ya kungonoka wanavosema waswahili
3 umri umefikia na anaweza kuitunza familia
sasa hapa umefuata ipi au...
kwanini utangulize kuonyesha kushindwa??shida sisi wenyewe tunangia kwenye ndoa kwa pupa hatuangalii ni yupi anayefaa na pia tunafuata tamaa za miili yetu Mke na mme mnastahili mfurahie ndoa yenu milele mtangulize Mungu wakati wa kuchagua mwenza wako na utafurahia maisha ya ndoa milele
Mi naunga mkono wachangiaji hapo juu kwamba mkikwaruzana tafuteni suluhu wenyewe haina haja kutoa siri zenu kwa wengine
lazima mmoja ajishushe ili mfikie mwafaka msitumie ubabe hata kama ni mwanaume jishushe au mwanamke ili mfikie suluhu
mkitoa siri zenu nje tayari hapo familia inaingia kwenye...
Haya yote yanatokana na kutokumwamini Mungu Biblia inasema Bwana asipoijenga nyumba wajengao wafanya kazi bure na Bwana asipoilinda nyumba walindao wakesha bure.
So utaenda kutafuta dawa kumlinda mpenzi wako kwanza unaenda kwa binadamu mwenzako kumwomba msaada pili unapewa masharti ukikikuka...
je ulitumia kipimo gani kuonyesha umri wa uja uzito?kama ni ultra sound ina weza kuonyesha kuwa uja uzito una wiki mbili mbele au wiki mbili
nyuma so hapo naona kwanza humwamini mtu wako ndo maana una wasiwasi cha kufanya subiria mtoto azaliwe upime DNA ndo moyo
wako utatulia
Hapo ndo tunapo kosea sasa sisi tunakutana na mtu mnaingia kwenye uhusiano ukiona anaenda sivyo ndivyo unaanza kumwomba Mungu ambadilishe ila tungemshirikisha kwanzia mwanzo tusingekuwa na shida
Ni kweli Mungu alimuumba mke na mme na akawafungia ndoa pale Bustanini mwa Eden na akaibariki ndoa na akaitakasa
Ndoa ni takatifu na imeletwa ili watu waweze kuifurahia na kuishi kwa amani ila baada ya anguko la mwanadamu dhambini
ndo chanzo cha haya yanayotokea leo
kumekuwa na kutokuwa...
sorry kama umenielewa vibaya ila maana yangu ni kuwa kunao wanaenda pale kibiashara na kama ameenda pale kibiashara ndo maana alitanguliza mambo ya hela kwanza
sio wote wanaoenda club ni machangu ila kauli ya mtoa mada kusema alimbip nakuomba vocha ya 10000 ndo imenisababisha kusema hivyo what do you expect from changu sio mzinga???yuko pale kutafuta urafiki wa kudumu au kuchukua chake mapema asepe??????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.