Mtu yupo chini ya ulinzi na bado anaweza kupanga uhalifu........
Hii ni nini...?
1. Vyombo vya usalama vimezidiwa mbinu na wahalifu?
2. Au vyombo hivi vya usalama vinashirikiana na wahalifu?
Sitamani hata kidogo kujitoa kwenye TUICO. Nanufaika sana na Mkataba wa Hali Bora. Lakini pia nina uhakika wakutetewa kisheria nikionewa. Nakatwa 2% monthly but kwenye CBA napata annual increment ya 10% ya basic yangu
Wafanyakazi wengi wana msongo wa mawazo unao tokana na mahusiano mabaya mahali pakazi na waajiri wao.
Tatizo hili kwa mtazamo wangu kwa miongo kazaa liligusa sana wafanyakazi wa sekta binafsi kwa kiasi kikubwa, lakini sasa limeshika hatamu kwa sekta ya umma.
Maoni yangu, Mjadala wa kitaifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.