Wakuu naomba mtu mwenye connection na makampuni ambayo naweza agizia vyombo, simu, nguo kwa bei nafuu au kwa maduka yanayouza vitu hivyo kwa bei ya kiwandani maduka ya Mwanza au Dar wapi napata?
Waungwana habari ya saizi napenda kuuliza je biashara ya vifaa vya simu kama, chaji, kava, protecta, earphones, chaji n.k je mtaji wa laki tano unaweza kutosha au inahitaji walau mtaji wa sh.ngapi kwa kuanza tu nje na matengenezo ya ofisi ,,,,? Naombeni majibu kwa wanaojua na je inalipa..?
Wakuu mimi nawaza kuanzisha biashara ya nguo za wanaume pamoja na viatu baada ya hili janga la Corona kuisha sasa naomba kwa wale waliopo dar wanipe connection ni maeneo gani hapo dar naweza pata izi nguo za mitumba na bei zake ni sh.ngapi pia kwa natshet ya manga yenye Cora na yasiyo na cora...
Najua suala la elimu kila mtu ana njia zake ambazo zilimfanya ikawa rahisi kwa upande wake mimi nina njia zangu ambazo zilinifanya nikaona kufaulu ni jambo rahisi pia natoa notes za olevel na advance kwa bei rahisi sana kwa anaehitaji nitafute kwa 0621084220
0621084220.
Sent using Jamii Forums...
Wakuu suala zima ni la ajira kwamba siku hizi ajira kila sekta ni ngumu lakini pia nataka kuuliza ikitokea mtu amemaliza degree ya Public Relations and Marketing anaweza omba kazi sehemu zipi anaposubili ajira serikalin?
Na ni short course ipi anayoweza kuisomea akiwa amemaliza degree yake ata...
Samahani wakuu nataka kujua kwa aliejiunga na mtandao wa Vodacom ya mwanachuo vifurushi vyake vipoje na huchukua mda gan kukamilika mana naambiwa vifurushi vyake vya chuo vizuri wengne wanasema sawa tu na laina ya kawaida naomba mwenye kulijua hili
:Asanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman Samahani kwa walioomba chuo cha udom awamu ya tatu je kuna kulipia au ni bure mana ad namaliza application na kusubmit hawajanipa control number wakati usipolipia huwez ingia kwenye kipengele kinachofuata msaada kwa anaeelewa juu ya hili
Samahan wakubwa kwa mwenye kujua bei ya kupanga vyumba mwanza SAUTI mana kukaa hostel hawaruhusu kutumia Pasi wala tv sasa nataka kujua bei ya vyumba ni sh.ngap kwa mwaka yaan ghalama ndogo na kubwa ya chumba ni ni sh.ngapi
ASANTEN
Samahani wakubwa ivi kwa aliyesoma au anaejua comb ya HKL eti kuna coz nyingne ambayo ni rahisi kupata ajira ata kama serikali itachelewa kutoa ajira kwa anaejua basi atuambie wadogo zenu hatuelewi yani ni coz ipi iko poa sana kwenye ajira
Jaman mi ninachohitaji ni ushauri nipo katika hali mbaya kuna mwanamke nampenda sana lakin kasikia kua nina dem mwingine kitu ambacho sio cha kweli kisa tu nilipiga nae picha basi rafiki zake wakamwambia mi nilisex nae adi tukapiga picha nimejaribu kuongea nae lakin hanielew nimeagizia rafik...
Samahani wakuu najua wapo form six wengi wamemaliza na wanaendelea kumaliza elimu yao lakini hatujui tuanzie wapi mara kuomba mikopo,mara jeshi na zinginevyo. Tunaomba mwongozo kwa wakubwa zetu mliopita huku asanten
wewe kama mfasiri wa lugha wakati mwingine yawezekana ukakosa visawe kabisa visawe vya istirahi za lugha chanzi yako katika lugha lengwa yako hali hiyo ikijitokeza inatakiwa kuunda istirahi yako mwenyewe .fafanua sifa sita za istirahi hizo zitakazoundwa.
JAMAN NAOMBEN MWENYE MAJIBU YA HILI...
Habari ya mahangaiko wakuu wa jukwaa hili, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Nina mpenzi ambae tumekaa nae kwenye mahusiano takribani miezi mitatu mpaka saizi lakini nikimwambia habari za kufanya nae mapenzi anadai eti mpaka nije nimuoe na anajua kabisa mimi na yeye kuoana ni pale tutakapo...
Naona watu wakibishana mala ooh diamond anafikisha views nyingi sababu kashirikisha msanii mwingine swali je huyu kiba si alifanya nyimbo na patoranking kwanini asifikishe views nyingi kama mond a.k.a simba lakin kila kukicha ni kelele wahenga wanasema hujui kusoma ata picha huoni tuache mambo...
BINAFSI sitamsamehe Neymar. Katika umri wa miaka 25, nyakati unazotamani kuona akielekea juu kabisa ya kilele cha ubora duniani, anachagua kuondoka Barcelona na kwenda PSG.
Kwa mchezaji wa aina yake mwenye uwezo kama wake, unatokaje kirahisi katika ligi bora duniani na kuchagua kucheza Ligue 1...
Mmh upo ktk mawazo yangu Leo kwa mala ya kwanza nusu tu niende gym kamvua kakaanza ko nikaailisha afu naona hii thread kua kuna madhara tena du ngoja wataalam waje tujue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.