Habari za mida wakuu
TV yangu ilizima ghafla ikawa haionyeshi chochote nikamplekea fundi kaniambia balb zimeungua, nikanunua mpya zikawekwa, kweli tv ikawaka lakini ndio ivyo ikawa inajichora mistari kama hivi.
Habari za wajati huu jf
Bila shaka mapambano juu ya corona yanasonga mbele huku kwa pamoja tukimuomba Mungu.
Ipo ivi.
Kuna mwana ilitokea tukawa tunaelewa ile mbaya alikua mwajiriwa wa taasisi moja mhumu tu mimi kama kawa napambana na kiosk,pia jamaa alikua na kaofisi kake nje na kazi kwa hyo...
Poleni na majukumu na hongereni kwa kuhimizana namna ya kuidhibiti corona.
Twende pamoja.
Wakuu, ipo hivi: Hapa mimi ni msaka tonge kama ilivyo kwa wengine sasa mwaka 2017 kuna dada akawa mteja wangu,tulikuwa hatujuani wala kuwa na mazoea kabla ila alionekana mchangamfu kila akifuata mahitaji...
Habari za mida wakuu
Mm ni muuzaji wa hizi mashine za kichina za kukaushia nywele (HAIRDRYER ZA MKONONI) kipindi cha nyuma sikuwahi kupata usumbufu lakini miaka ya karibuni zimekuwa na tatizo kwenye huu umeme wa TANESCO.
Tatizo ni kwamba baadhi ya wateja niliowauzia wanadai zinakata umeme na...
wakuu najua walio wazima watachangia.
wagonjwa mungu awatie nguvu ya urejevu wa afya zenu mapema na mkaendelee kutimiza kile mlichoagizwa kutimiza na Mungu alie Mkuu!
Nisipoteze mda!
Ni iv mm nimeoa na nina watoto wawili (nawapenda kuliko chochote duniani)
Shida ni hyu mama watoto yaan ni...
Ipi hivi leo baada ya kufika kazini nikaona nitoke kidogo nikaingia mahali hili kuiweka akili sawa..
Nilipoingia nikakutana na dada mmoja (namfahamu) baada ya salamu akaniomba simu mimi nikampa nikijua labda kaishiwa salio au chaji kwenye simu yake na kuna mtu anataka kuwasiliana nae. Nilipompa...
Habari za weekend wana JF
Poleni na majukumu ya wiki na karibuni kwenye harakati za weekend za kutumia sehemu ya kile ulichopata kwa hizi siku5
Nije kwenye mada.
My story; hii sio simulizi bali ni kitu kinachoniandama karibu kila siku.
Ipo hivi zaidi ya miaka mitatu iliyopita nilimpotenza...
Habari za mda huu wanajamvi!
Sina shaka maana na jua kwa rehema za MUNGU mmeamka salama na baadhi tiari mpo makazini kuijenga nchi yetu.
Kwa wale ambao hawapo poa kiafya na kiakili Mungu awatie nguvu na afya mpate kurejea mapema vitani
Kama kichwa cha thread kinavyosema, mliowai kukopa...
Leo baada ya kufika kazini nilitoka kwenda kupata supu ili kupunguza hangover maana jana nilipiga sana vyupa.
Nikiwa mgahawani nikamuona dada mmoja niliewai tembea nae miaka kadhaa iliopita kipindi nipo single,nikapiga kimya mpaka nlivyoondoka nikamuacha
Nikiwa narudi kazini ghafla likanijia...
Habari za mda huu wana jf!
Imekua ni kawaida kwa wanaume wa dar kuoa mikoani au wanawake Wa mikoani kuolewa dar!
Lakini hli la wanawake Wa dar kuolewa mikoan sio sana tena teknologia inavyozidi kukua ndio kabisa akuna mwanaume anaetaka kumsikia mwanamke wa dar kua mkewe.
Na Mara nyingi...
Nmepigiwa simu na Namba isio julikama (unknown number)
Je huu mchezo wa zamani umerudi tena?
TCRA wanafanya kazi gan au hii haipo kwenye list ya cybercrime ya TCRA?
Habari wa JF,
Kama heading inavyojieleza,
Ni hivi, miezi kama 6 iliyopita alileta dada wa kazi hapa nyumbani baada ya kumuliza alinijibu kua amepewa na mama yake.
Kwakua nyumbani tuna mtoto mdogo niliona ni sawa maana kuna mda mimi na mke wangy tunakua kazini kwahiyo anatusaidia siku mtoto...
Mimi nlikua mvivu balaa
1) mende akiingia ndani nlikua siangaiki nae namuacha ale jeuri yake..hamalizi siku mbili bila kumkuta kafa
2) sikuwai kupika wala kua na jiko
3)nikianua nguo nlikua nazitupa kwenye sofa nazivaa ad ziishe bila kukunja wala kupasi
4)nlikua na pasi lakini naweza...
Wakuu habari za mda..
Kutokana na mseto wa uzi huu nimeshindwa niuweke jukwaa la AFYA au MMU ila naamini wataalamu Wa pande zote mbili watauona na kunipa ushauri/ msaada Wa mawazo.
Twende kwenye point..
Mimi na mke wangu tumekua tukitofautiana kwa baadhi ya mambo na kila tunapotafuta...
Kuna ajali mbaya imetokea Leo Aug20 maeneo ya galapo babat baada ya gari aina ya Noah kuacha njia na kupinduka na kujerui abiria wote huku wengine wakijeruiwa vibaya na kukimbizwa hospital ya wilaya ya babati MRARA na wengine kukimbizwa mkoni arusha (SELIAN) kutokana na hali zao kua mbaya...
Habari wakuu!
Leo ngoja tuangalie kazi ambazo warembo wakimkuta mtumishi ni mwanaume ujisikia amani kuliko wakikutana na jinsia yao..na hawaonagi tatizo kujilengesha kwao(siyo wote)
1.daktari-mara nyingi wanaume hatupendi wenza wetu wahudumiwe na daktari wa kiume, kwani ni raisi daktari...
Wasalam wakuu!
Ni iv..baada ya kusikia misifa kibao kwa hawa watu Wa 'dar es salam' kuhusu uzuri Wa kijiji chao..tukaona isiwe tabu,tukazichanga Mimi na mwanangu kama mwezi iv..lengo kwenda kusafisha macho na kupunguza ushamba wa kurushwa roho na hawa watu kila wakija huku kijijini
Siku...
Habari wana jf
Ikiwa ni siku mpya na kila mtu akiwa kwenye purukushani za maisha tukiyandaa kesho mpya..hatuna budi kumwambia Mungu asante.
Lengo la Mimi kuleta mkasa huu hapa jamvini n pamoja na kujifunza na kuwatia moyo walio kata tamaa kimaisha
Twende kwenye point!
Miaka 22 iliyopita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.