"sasa jana mama ake amempa atm card atoe pesa amlipie ada yake ya shule na mahitaji ya shule mpya, kampiga pesa katoa 50k zaidi ambao hakumwabia hivi vi pesa vidogo
Jamani huyu mtoto atakuja kubadilika au ndo hivo kasha kua mwizi wa kudumu? Ushauri tafadhari"
Nyie ndio mliomwaribu iv unaijua...
Yaani kumpa mkeo ujauzito ni kujidhalilisha kumbe, kama amna tatizo kwa mkeo lea mimba na hyo mtoto
Miezi 9 ni mingi kwa mtoto kama utasimamia lishe na matibabu kwa ukaribu.
Labda kama unaogopa mimba ikianza kuonekana itajulikana ulikula mama bila kinga.
Mimi ata akibadili tabasamu ujumbe Nampa mubashara yaan ata Kama ni mm nmemkera nikijua namwambia na nikijua shida ni mm kutamka neno ni "nisamehe kwangu haijawai kua tabu"
Yaan kubeba makopo ni kujali wanyonge?
Hyo hata huo ubunge ni kwa vile alipewa wa mezani ila kiualisia hana sifa za kua mbunge
yaan kiongozi badala unakuta wakulima wanalima kwa kutumia jembe la mkono badala uwasaidie kwa kuwapa trekta et na wewe unashika jembe tena mbele ya camera .
Kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.