Chadema mbona nao wanashiriki uchaguzi katika mazingira haya haya?
Kipindi cha Magufuli si walikuwa wakisusia uchaguzi ndogo lakini wakaja kushiriki uchaguzi mkuu na mazingira yakiwa hayajabadilika?
Mwaka huu si wamesema watashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa?
Mwakani si wamesema pia...
ACT kuibiwa kura ndio kitu ambacho kilitakiwa kujadiliwa kwa nguvu na CDM na kuiuliza CCM maswali kuwa walikuwa wanamsingizia Magufuli huku wao wanafanya hayo hayo, Cha ajabu Chadema wanaipongeza CCM na kuicheka ACT
Kipindi cha Magufuli tulishuhudia kuibuka kwa wanaharakati wengi mtandaoni
Kuna ambao walikuwepo tangu zamani lakini umaarufu wao ukaongezeka mara dufu kipindi cha Magufuli na wengine hawakuwahi kuwepo kabisa katika harakati za siasa kabla ya urais wa Magufuli
Baadhi ya Wanaharakati hao ni...
Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.
Maajabu ni kuwa...
Naona Serikali imefanya mabadiliko kidogo kwenye elimu kwa kuanzisha tahsusi mpya, ni mabadiliko lakini kuna jambo ambalo naona linachukua muda mrefu kutekelezwa.
Ni lile aliloagiza Rais Magufuli kabla ya kufariki la kuanzishwa kwa somo jipya la historia ya Tanzania litakaolofundishwa kwa lugha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.