Nakumbuka enzi hizo, mwanzoni mwa miaka ya 2000, kulikuwa na watangazaji na vipindi maarufu vilivyopeta kipindi hicho.
MISANYA BINGI WA REDIO ONE- Enzi zile alikuwa na kipindi chake cha chemsha bongo, ilikuwa burudani sana.
MARTHA NGWILA WA REDIO Tanzania, huyu alivuma sana na style yake ya...
Aisee, kila nyakati na mambo yake, hivi mnakumbuka miaka ile tunajazana kwenye vibanda vya TV show kuangalia muvi?, alafu kuna baadhi ya filamu zilitamba sana miaka hiyo mfani
Arnold shwarzniger(jeny)
Neria
The gods must be crazy1-3
Mkanda wa yesu
Sarafina
Rambo
Muvi za blue three
Home alone...
Bila shaka, Roma ametuthibitishia pasina shaka, kuwa alitekwa na kuteswa na watu wasiofahamika, japo hakuwa tayari kuweka wazi mahojiano waliyomhoji watekaji. Itoshe kusema sakata hili LA Roma linafanana sana na LA Dr. Ulimboka lililotokea mnamo mwaka 2012, ambapo naye alitekwa na watu...
Kweli kila nyakati na mambo yake, nakumbuka michezo ya maigizo kipindi hicho ilivokuwa ina trend. Enzi za kaole kila jumamosi baada ya taarifa ya habari tu, watu macho kwenye TV, mambo hayo, kidedea, jumba LA dhahabu. Basi enzi hizo mastaa waliokuwa wanatamba kwenye uigizaji wakina Kibakuli...
Mwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000, kabla ya bongo muvi, filamu za ki Nigeria ndizo zilikuwa zinapeta, nakumbuka baadhi ya filamu maarufu miaka hiyo kulikuwa na "suicide mission" (kichupa), "The price" (pastor ken), conspiracy, Witches, Lady bianca, Blood sisters, Christ in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.