Salamu wakuu ,
Nina Stationary yangu sehemu nimepata changamoto Mbili kwenye pc , pc moja Ina install software/drive za Epson printer w-345 lakini inakuwa incomplete hivyo siwezi ku print
Pc nyingine inaniambia Kama hapo Chini kwenye picha
Naomba msaada mwenye kuweza haya matatizo, pia...
Natafuta dada wa kazi kwa ajili ya Stationery iko ukonga madafu
tuwasiliane kwa email bunyinyiga2014@gmail.com, Form 4 mwenye
speed nzuri ya typying pia anaweza apply maana mafunzo kazini
inawezekana.
Kama kichwa Cha habari hapo juu, Eneo la Kazi ni Dar Temeke Chang'ombe (DUCE)
SIFA
- mchapakazi
-mbunifu
- awe na uzoefu wa muda mrefu miaka 2 au zaidi, Kama aliwahi kufanyakazi sehemu yenye Chuo ni bora zaidi
- awe na network Yaani wataje wanaomfahamu na kumpa kazi
- awe anajua misingi ya...
Wakubwa salamu
Kama nilivyoeleza hapo juu nina mashine ya CANON iR5870Ci inatatizo la TOUCH SCREEN,
panel ya namba inafanyakazi na display inafanya kazi, ila TOUCH imekufa ndio hakuna command inatuma kwenye mashine.
Nimewasiliana na hawa jamaa wa canon city naona nao ni wababaishaji...
==========++++++BRAND NEWS APARTMENT+++++================
Mchikichi Residential Apartments are located at Ilala-200 metres off Kawawa Road, just less than 2kms from City Centre with easy access to the airport and all other important parts of the city. The three bedroom apartments have a spacious...
Salamu wakubwa,
Naomba msaada printer tajwa hapo juu ilikuwa inafanyakazi vizuri, lakini iliposafirishwa toka imefika TOUCH haifanyikazi ( in display lakini hakuna response ninapotaka kuitumia kutuma command kwenye printer)
1. Kwa mwenye kujua shida ni nini? ushauri wa nini cha kufanya...
Salamu ndugu
Wakuu namba msaada kupata joining instruction ya chuo taja, kuna bwana mdogo amechaguliwa kwenya hapo ila jamaa awajatuma join instruction mpaka sasa na chuo kimekaribia kufunguliwa, kwa mwenye nayo anisaidie tafadhali maana hata wizara haina wala NACTE, sasa kufunga safari dar...
Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI...
Wakuu salamu,
Naomba msaada kama kuna uwezekana wa SKY BOX (uk) kuweza kushika satellite likiwa bongo,
Je kuna program yoyote inatakiwa? maana nilikuwa na box yangu sina kazi nayo nimeisafirisha bongo sasa wenyeji wanasema inawazungua hakuna channel inayoonekana, hiko kwenye searching tu...
Salamu,
Nimesoma maelezo ya mwakyembe kuhusu polisi waliohusika na tukio la upitishaji wa madawa hapo JNIA, kwa kweli inasikitisha sana jinsi tulivyo nyuma ya wakati katika mifumo yetu ya ulinzi hasa idara za serikali.[INDENT=2]
Malezo ya waziri hapo juu yako bayana kwamba CCTV zinachofanya...
Gazeti la Habari leo limetoka na habari inayosema WANAOPINGA KODI YA SIMU HAWANA JEMA, hiyo habari imechapishwa kwenye gazeti lao la leo na linaendelea kuuzwa mtaani likiwa na hicho kichwa cha habari.
Baada ya hiyo habari kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ambapo Pinda alinyooshewa vidole...
WITO WA KUSITISHA TOZO/KODI YA LAINI YA SIMU KUFUATIA MABADILIKO YA SHERIA YA KODI 2013
Wakati ni wetu kuonyesha kuwa mabadiliko ni sisi na si kusubiri mtu mwingine alete mabadiliko. Tembelea tovuti hii (
WITO WA KUSITISHA TOZO/KODI YA LAINI YA SIMU KILA MWEZI KUFUATIA MABADILIKO YA SHERIA YA...
Kupitia mtandao wake wa twitter,
Viongozi wetu awajitambui kabisa wala hawana sense of human, ameshindwa kusoma tukio?! CCM Kama chama discipline naona hakuna kabisa, wanaokota wapi Hawa watu wao? Ujasiri wa kuonge ujinga Kama huu unatoka wapi? Yaani Kama vile wanaona raha ya hivi vifo...
Member anaweza waingiza watanzania walioko nchi kwenye mkenge bila kujua, kumiliki uraia wa nchi mbili kuna harasa kuliko faida, lakini pia ukirudi Tanzania na kukutana na kasheshe za bongo uwezi sema unataka msaada wa kibalozi wa huko unakotoka maana wewe ni raia wa Tanzania, hata huo uwekezaji...
Salamu wanaJF,
Nianze kwa kusema nasikitishwa sana na TABIA ya VYOMBO vya habari nchini kutuhumia kwamba ni waongo tena WAZIWAZI hasa na hawa VIONGOZI wa KISIASA (kwa wiki hii tu Spika na Mbunge wa Nzega wamevihita vyombo mbalimbali vya habari waongo) lakini cha ajabu hakuna hatua...
Habari za meli 32 za Iran kutumia bendera ya Tanzania zilivuja mwaka jana, lakini waziri wa mambo ya nje alitoka na taarifa kwamba ana taarifa na hayo matukio.
Jana kuna meli ya IRAN imekamatwa na bendera yetu :
Mwaka jana ilikuwa hivi
US Lawmaker Asks Tanzania to Cancel Reflagging Iranian...
Kuna raia mmoja wa uingereza alikuwa kwenye hatari ya kuua, lakini hata yeye akuwa na taarifa kwamba kuna wate
wanataka kuua, taarifa zilimfikia baada ya polisi kumwambia alikuwa hatarini lakini wabaya wake wamekamatwa
Moja ya mambo muhimu kwa kiongozi bora ni mawasiliano ya uhakika na watu anaowaongoza,
Inakuwa muhimu zaidi kama kiongozi husika ni mwakilishi wa kikundi au jimbo, maana maoni au
uwakilishi wake lazima utokane na maisha au matatizo/mahitaji ya wananchi anaowakilisha.
Hivi karibuni kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.