Pasiko bana ili bandiko lako limejaa changamoto binafsi, yaani unajaribu kusema nini kwa mfano? kama dereva anahusika alishirikiana na nani? hao alioshirikiana nao kwa nini wasikamatwe?
Salamu wakuu ,
Nina Stationary yangu sehemu nimepata changamoto Mbili kwenye pc , pc moja Ina install software/drive za Epson printer w-345 lakini inakuwa incomplete hivyo siwezi ku print
Pc nyingine inaniambia Kama hapo Chini kwenye picha
Naomba msaada mwenye kuweza haya matatizo, pia...
Natafuta dada wa kazi kwa ajili ya Stationery iko ukonga madafu
tuwasiliane kwa email bunyinyiga2014@gmail.com, Form 4 mwenye
speed nzuri ya typying pia anaweza apply maana mafunzo kazini
inawezekana.
Tigo nao karibu watalipa 2.5bn kwa kosa walilofanya zamani tu, kipindi hivyo mapato yao yalikuwa ya kishikaji sana, Tatizo sisi watanzania tunajua sana
Huyu DCI naye vipi, sasa angejuaje kuna hivyo video bila watu kuisambaza? na kwa nini anasema ni kosa kabla ya kumhoji aliyefanya record ya ile VIDEO? je ameiona hiyo VIDEO? je kweli ni mchele wa kawaida au si wa kawaida?
Mboka kama DCI anakuwa aggressive kabla ya kulichunguza ili suala? maana...
Mkuu umejaribu kujenga Hoja na zinashawishi ila tatizo naloona kwenye hoja zako hakuna Namba, wewe unasema hatuibiwi, kwa nini kwa mfano usiweke namba kwa mfano walipata copper, fedha etc kwenye hayo mabaki kwa kiasi hiki?
Je unajua ni kiasi gani wanapata kwenye huo mchanga?
Wanaosema ni...
Haya maneno mawili yanachangamoto ya tafsiri , mfano ni nimechukua kwenye moja kamusi
Stationery is paper, envelopes, and other materials or equipment used for writing. ...envelopes and other office stationery.
Definitions of stationery
noun
writing paper, especially with matching envelopes...
Dah Kumbe wajita tuna sifa hizi mbaya ? Mpaka ya uchawi hahahaha kujivuna ndio kuna wanaojivuna Ila tuna uchawi kuliko wengine kweli hahahaha Tanzania ya Leo wajita wamekuwa Na sifa ya voodoo?!!! Mbona voodoo ni Kama sifa ya Taifa hii ? Makonda amesema kuna Watu mnatembea Na hirizi mkimuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.