Habari wadada wa jf
Mimi ni mwanaume wa 30yrs.Ninaishi dar ni mwajiriwa,kipato cha wastani.
NB.kama kichwa cha habari kinavyojieleza,natafuta mwenza/mke ambaye atakuwa tayari tuoane na kuanzisha familia.
Sifa zangu:
Mrefu wa wastani(si mfupi)
Elimu chuo kikuu (degree ya accounts)
Dini mwislam...
Habari za mchana wana jamvi.Niende direct kwenye swali langu,naomba kujuzwa muda anaoruhusiwa kisheria kwa expert kuishi Tanzania pamoja na vigezo vya kuwa expert.
Asante
Jamani namtafuta uyu dada toka alipohama arusha secondary mwaka 2002 ckuweza kumpata tena,though kwenye mitandao ya kijamii alijiita zulfa r ahmed bt hizo account ziko inactive.yeyote mwenye mawasiliano nae plz ani pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.