Wenyeji wanasema anacholalamikia yule mama ni haki za mtoto ikiwa ni pamoja na matibabu,kwenda shule na mahitaji mengine muhimu! Inaonekana ni Kama mama huyo hakujua sehem anayotakiwa kwenda kwa ajili ya kupata msaada huo ndio maana anasema alienda kwa jaji mkuu,IGP na vituo vya polisi ambavyo...
Nilichukua mkopo nmb mnamo mwaka 2016,makato ya kwanza ilikuwa ni sh 150332 lakini mpaka Sasa makato yamepanda kufikia tshs 153664,je ni kweli asilimia za makato huwa zinaongezeka kadri muda unavyokwenda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umedanganya mkuu,tunaonaga hapa Tabora valangati la polisi na wanajeshi mpaka viongozi wanaingilia kati,Sasaiv kuna mazoezi ya pamoja kila jumamosi ili kuepusha dhahma za mara kwa mara
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi niliwahi ibiwa tena kiboya kweli,
Mitaa ya tandika sokoni niliwakuta jamaa wanacheza michezo flani ivi ya kadi,zile kadi zina pande mbili upande wenye namba na usio na namba ,nikaangalia kwa makini kadi yenye namba kisha nikaweka fedha kama 60 thousands ivi,jamaa wakanambia umekula ongeza...
Kwa mujibu wa sheria kulikuwa hakuna hukum tofauti na hiyo,tusijifiche nyuma ya umri wa huyo dogo kama hakuna sheria inayomlinda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenikumbusha mbali aisee,
Iroba niliwahi kuuza duka maeneo ya Kanyaondo kwa mzee mayaya,duka la jamaa mmoja anaitwa Hamisi...dah nimepanda sana Mwahwayo Rwazi-Iroba mpaka Kashekulo,mchangani,rushonga n.k.
Mambo ya degere bana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba umesomea rubya seminary ama Humura kwa Mr Mafigi!? Uko sahihi kabisa ..nmeishi visiwani ,,kule population ni ndogo mno ..niliwahii ishi rushonga,iyumbo,gozba,kinagi na iroba,,
Mzee baba acha izo bana kishanda tena!
Pande za rwamishenyi,mabila,ihunga nyele,kabulala,kashonge,kanywisa,mabira [emoji2][emoji2] daah hiyo mitaa nimeimis kinoma,wahaya wakarim kweli kwenye mambo ya nyapu wala hawanaga uchoyo.
Hawa jamaa wapo vizuri malalamiko yakiwafikia wanatimiza kwa haraka,mita yangu ilipigwa na radi tangu mwezi wannne mwaka huu wilaya husika ikawa inasuasua tu kuja kunifungia mita mpya ,baada ya kuja hapo jamii forum yaan haikupita hata wiki mzee nikaja fungiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.