Habari wapendwa!
Samahani, natafuta dada wa kazi za nyumbani. atakuwa anaishi nyumbani. na nyumba ipo na mke pamoja mtoto tu.
Kigezo; Awe na miaka kwanzia 18 - 24, Mchamungu & anayejielewa.
Eneo: Dar es salaam.
Mshahara: Maelewano.
Mawasiliano: +255 676 797 679
Habari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..😊
NB: Please, Crushes...
Uzi mfupi, sitaki kukuchosha
Habari wanaJamiiForum!
Mara kadhaa nimekua nikikutana na hii kauli " wanawake wanapenda 'sex' kuliko wanaume" sema mara nyingi huwa hawajioneshi wakihofia wanaume tutawachukulia vibaya.
Hivi kuna ukweli wowote hapo?
Habari Wana JamiiForums!
Poleni na harakati za utafutaji wa riziki, hongereni pia. MUNGU awajalie katika utafutaji wenu.
Hili ni jukwaa la elimu, kama mada inavyojieleza, naomba tupate elimu kidogo kupitia wazazi wetu.
Karibuni
Habari wana JamiiForum,
Poleni na hongereni kwa majukumu. Mungu azidi kuwabariki katika utafutaji wenu mpate kile mnachokitafuta.
Kama kichwa kinavyojieleza pale juu, naombeni ushiriki wenu, maoni yenu pamoja na maswali yenu mtakayotoa apa nina imani yatakuja kusaidia watoto wetu na wajukuu...
Habari wanaJf..
Poleni na harakati za kutafuta maisha na hongereni sana kwa utafutaji.
MUNGU azidi kubariki juhudi zenu mnazoonesha.
Kama mada inavyojieleza pale juu, naomba nisizunguke saana. nisije nikawachosha.
Unataja jukwaa na sababu zipi zinakufanya usiingie.
karibuni sana[emoji116]
Habari wana Jf!
Poleni sana na majukumu ya siku ya leo, nawapa hongera pia kwa utaftaji. Mungu azidi kuwabariki katika shughuli zenu[emoji120]
Kama mada inavyojieleza pale juu, kiukweli kwa upande wangu sijawai kumkopa, sema leo sijui nijaribu.[emoji28] dahh sema sijui atanichukuliaje?
Anyway...
Habari wanaJF
Poleni na majukumu na hongera kwa utafutaji Mungu azidi kubariki kazi za mikono yenu.
Kama mada inavyojieleza pale juu, naomba ushiriki wako
Ahsante.
Habari wanaJamiiForums.
Poleni na majukumu na hongereni pia kwa utaftaji. Mungu azidi kuwabariki.
Lengo la Uzi huu ni kumtakia tu yeyote umpendaye usiku mwema
Cha kufanya, tag yeyote umpendaye na kisha mwambie neno lolote la kumtakia usiku mwema.
Karibu.
Just pretend FamiiForums is google and search for anything you wish to know. Someone will definetly reply you in seconds or minute.
Some people are natural encyclopedia or a genius.
Let the enquiry begin.
Habari wanaJF
Polen na majukumu piaa hongereni kwa utaftaji. MUNGU awajalie katika utaftaji wenu.
Lengo la huu uzi sio ni kuwakumbuka na kuwaombea washkaji zetu waliotutoka enzi za utoto wetu
Natumani huenda wangekuepo bado wangekua washikaji zetu na tungeshirikiana nao mambo mbalimbali...
Hello guys 🖐
Kama kichwa kichwa kinavyojieleza, leo nisirefushe Sana maelezo, main body nimekuachia wewe, conclusion nitakuja kuimalzia Mimi.
Karibuni👇
Habari za mda huu wanaJf
Poleni na majukumu (kwa wale wataftaji)
Hongera kwao pia. MUNGU awajalie katika utaftaji wenu (kwa wale wafanyao shughuli halali)
Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.. kwa kuanza na Mimi nafikiria kwamba
1. Wapole
2. Wanaakili za maisha
3. Wengi wao ni umri (25_35)...
Habari wanaJF
Poleni na hongereni kwa shughuli mzifanyazo.
Hakika ninyi ni wapambanaji. Kwa wale wafanyao shughuli za halali MUNGU awajalie mpate matunda ya kazi zenu.
Nisizunguke Sana, Kama kichwa kinavyojieleza pale juu. unaeza ukakisoma tena. Apo sawa[emoji28]
Basi leo katika pitapita...
Habari wanaJf..
Poleni na harakati, hongereni pia kwa utaftaji.
Mungu awajalie katika harakati zenu pia. Haswa harakati ambazo ni halali.
LENGO LA UZI; Ni kwajili ya Viatu tu, napo ni pande zote wanaume na wanawake
Vyovyote vile unaeza kukichambua kiatu kwanamba uwezavyo, cha msingi ni...
Habari wanaJF
Hii nikwa wale wote walio macho mda Huu....
Tena nianze na mimi kabsa. Yani apa nawaza namna usingizi utakavyoanza kunichukua.
Eb nawe sema kidogo[emoji39]
Habari wana JF
Poleni na majukumu ya leo, hongereni pia maana nyie ni wapamanaji
Kama kichwa kinavyojieleza pale juu na siyo Mkeo/Mme tu hata anayetembea na girlfriend wako au boyfriend wako ushauri gani utampa?
Zungumza kidogo
Karibuni Sana
Habari wanaJf,
Poleni na harakati za kutafuta riziki. Hongereni pia maana nyinyi ni wapambanaji na ipo siku mtashinda.
Kama kichwa kinavyojieleza pale juu. Ebu kiangalie tena kinasemaje. Haha
Basi bana ngoja nianze na mimi, yes ishatokea tena nilijuta sana. Ata sijui why. Sijui ilikua tamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.