Habari wapendwa!
Samahani, natafuta dada wa kazi za nyumbani. atakuwa anaishi nyumbani. na nyumba ipo na mke pamoja mtoto tu.
Kigezo; Awe na miaka kwanzia 18 - 24, Mchamungu & anayejielewa.
Eneo: Dar es salaam.
Mshahara: Maelewano.
Mawasiliano: +255 676 797 679
Habari wanaJamiiForums..!!
Tukiwa tunajianda kulala nimeona niwaletee mada kidogo. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu.
We mtaje tu huwezi jua kupitia kumtaja kwako ghafla mambo yanachange na kuwa mazuri. Usikaushe kaushe maisha ni mafupi / tunaishi mara moja.
Mtaje tu..😊
NB: Please, Crushes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.