Hivi kwenye mpira uchawi unasimama namba ngapi ya mchezaji?? Tz kuna mikoa inayosemekana kwa uchawi ipo vizuri sana ila hata timu ya ligi kuu kutoka hiyo mikoa hakuna. Huki zanzibar timu ya taifa na timu za vilabu huwa zinafika hatua gani kimataifa?? Kuamini uchawi kwa kizazi hiki ni ujinga
Kama tff wapenda haki vipi manara alivyoomba rufaa yake alipewa?? Tff wanakoelekea naona mwisho wao mbaya sana tena sio kidogo. Yanga wabishi na wamefanya kusudi ili wapate pa kuanzia ila msioona mbali mnaona jamaa zimbukutu kumbe wanazo kichwani akili za kutosha. Ukitaka kumkamata panya kwa...
Sijaona mwenye hoja humu zaidi ya ushabiki wa yanga na simba?? Vipi Manara kudai haki ya kukata rufaa na kunyimwa ilikuwa haki?? Mkitaka mpira wa bongo uende mbele cha kwanza tuongee kimpira na sio kishabiki
Mwisho wa siku mtajiona hamjui. Ngoja tusubirie kama tff kuna mwenye akili kweli. Tff haina wenye weredi ndo maana rufaa ya Manara walikataa kutoa wakati ni haki yake kisheria. Tff walipofikia ndo patamu alafu ndo wataona mziki wa Yanga ukoje. Sio zama za mwendazake hizi believe or not.
Hivi anayelaumiwa ni Mange au aliyejiseti kupiga picha za uchi?? Hebu msitetee ujinga mi naona mange yupo sahihi ili iwe fundisho kwa wengine maana tumechoka na ujinga
Huwa unaangalia mpira lakini?? Hivi goli kama alilofungwa Nula boy na Mayele kwenye ngao ya jamii si ndio kama alilofungwa Kaseje pale taifa kwenye kati ya kongo na tz??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.