Hello there!
I am competent, skilled and experienced nursery teacher from Feza Zanzibar. (4years)
Currently, I'm in mainland and looking forward to teach at any Nursery school.
Thanks.
Khaa jamani ebu mpumzisheni mdada wa watu, yupo kwenye wakati mgumu mno! Aggy alikua rafiki yake haswaa hakuna asiejua
Kama kaona hiyo ndio njia pekee ya kumuenzi basi heshimuni mawazo yake!
Ni nyumba kubwa ya vyumba 11 na frame nje
Ukubwa wa kiwanja ni 25 kwa 23
Umeme na maji masaa 24
Nyumba ipo maeneo ya Chamwino
Bei ni shilingi 20,000,000
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.