kwa hiyo wewe unaona hatari kufukuzwa chuo kwa kutetea haki za watu? mimi nilifukuzwa na wala sio mara 1 au 2 lakini mara zote mahakama ilinirudisha ndani ya siku 3...na sitoacha kutetea maslahi ya wananchi kwa kuwaogopi mbumbumbu kama wewe>>> hiyo hoja hapo inahusiana nini na kufukuzwa DIT?
Dr Wilbroad Slaa Speech at Stamford University USA
Africa is transitioning from mismanagement, dictatorship and corruption that have plagued the continent.
Corruption is the main vice depriving Tanzanians and other Africans a chance to economic prosperity.
I am not here to beg, because my...
Suala la maandamano ni haki ya kikatiba ya kila raia,utaratibu wa maandamano ni kutoa taarifa masaa 48 kabla ya muda wa maandamano ili vyombo vya usalama vijipange kulinda maandamano hayo, polisi wanaweza kushauri juu ya njia iliyopangwa kutokana na hali ya kiusalama kwa mfano kupitia kariakoo...
kwani nani kawaambia CHADEMA iliwaomba CUF kuungana, hoja zenye ukweli ndizo zilizowafanya wabunge wa zanzibar wenye nia nzuri na nchi yao kuunga mkono msimamo wa CDM>>> na mlitegemea nini kutoka kwa Maalum Seif wakati yeye ni makamu wa Rais na serikali ndiyo iliyowasilisha msuada huo?
Mimi nimeshindwa kushangaa maana ccm yenyewe tu sasa ni kituko, ni makosa kwa Balozi kuonyesha ushabiki wa kisiasa maana inahatarisha mahusiano ya kimataifa
WEWE MBUMBUMBU KWELI! hata kauli yako tu inatosha kuonyesha hilo,unawezaje kushawishiwa kufanya kitu usichokikubali halafu baadae uanze kulalamika, sasa kama ulishindwa kunizuia wakati huo kukushawishi ugome ndo utaweza kuzuia harakati zangu? na hata hivyo unaonyesha udhaifu kwa kuongea huku...
Usifikiri kila mtu anawazia tumbo kama ulivyo wewe, mimi nafanya kazi ya siasa nchini... ndio maana utasikia niko Iramba, Mpwapwa,Gairo,Ifakara, Dar es Salaam na kwingineko, Singida kaskazini peke yake hakuwezi kuikomboa nchi yetu tunahitaji ukombozi wa nchi nzima.. na haya yote nafanya kwa...
Kama kuna watu wanafikiri kufanikiwa kwenye siasa basi lazima uwe Muongo, mnafiki, mzushi na kujipendekeza, ni hawa vijana wawili wazaliwa wa mkoa wa Singida wanaowachefua watanzania kwa sasa; Nape na Mwigulu wanautia aibu mkoa wa Singida na Taifa kwa kutumika kama vibaraka wa utawala wa...
Majigambo na vitisho vingi vya naibu katibu mkuu wa CCM na mbunge wa Iramba Magharibi Mwigulu Nchemba yalidhihirika kuwa ni kelele za chura baada ya wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA iliyofanyika wiki iliyopita katika vijiji mbalimbali jimboni hapo, Wananchi walidhihirisha...
Mwigulu una matatizo sana wewe, kwanza Dr Kitila Mkumbo kwao ni Mgela kata ya Mtoa na sio Mingela kata ya Kidaru tulikofanya mkutano, pili Kitila anakubalika sana hasa kwa busara zake na huwezi kujilinganisha naye hata kidogo...nimeshakushauri uanze tu kuaga...
Mwigulu acha kuhaha,Maeneo tuliyofanya mikutano katika jimbo la Iramba Magharibi ni maeneo ambayo hayakuwahi kufikiwa kichama na CHADEMA, hii ilikuwa ni mara ya kwanza; lakini kwa majigambo yako kwamba wewe unapendwa jimboni kwako nilijua tungekuwa na kazi kuwapata wananchi kuhudhuria mikutano...
Kamanda Nyahende Thomas tupo pamoja sana, muziki huu ameutaka yeye mwenyewe kwa kujitangaza adui wa harakati za mabadiliko nchini, wakati sisi tunamuona panya tu, mkoa wa Singida hatukubali kuwa na viongozi wanaotutia aibu kama hawa, tumejiandaa kulinda heshima yetu kwa lolote lile>>> asante sana
Salamu rasmi IRAMBA MAGHARIBI, Timu ya kazi inaingia na kupiga kambi kuanzia Jumamosi hii kutoa elimu ya URAIA na UKOMBOZI wa Jimbo Hili kutoka kwenye ulaghai wa ccm uliowafumba macho wananchi kwa miaka mingi na maisha yao yakizidi kuwa magumu siku hadi siku, eti MAISHA BORA KWA KILA...
Mwigulu Nchemba acha kutapatapa na kutoa vitisho kwa makamanda wa CHADEMA, ulimfungulia kesi Kamanda Kitila Mkumbo na Waitara kwamba wamekutukana kwenye mkutano Ndago Iramba, mahakama ikathibitisha uongo wako, sasa umeanza kumuandama Kamanda Jesca Kishoa kwa vitisho vikali kwenye mitandao ya...
Kwa sababu ni tabia kwa watu kubisha hata jambo lililo wazi, sishangazwi na wengi wenu mkimkashifu bw. Michael P.Aweda kwa hoja aliyoileta, Mimi nilikuwa wakala kwenye kituo na mtaa pekee ambao CHADEMA imeshinda kwa kishindo,nilisimamia mtaa wa Jogoo kata ya Mbezi juu jimbo la kawe na CHADEMA...
Sio kweli kwamba jina hili lina matatizo, ni jina maarufu tu na ndio maana mnaowataja ni watu maarufu na siku zote umaarufu una gharama zake, mbona wapo wengi ambao hawana hizo sifa mnazoziorodhesha hapo?
Paka akibanua kwenye kona anakuwa mkali kuliko chui>>> nape na maneno yaliyojaa hasira na chuki yanatoka wapi, kama ni kukanusha hoja ongea kama mwanasiasa aliyekomaa na sio kuropoka ...hizi ni dalili za mwisho kwa ccm
Paka akibanua kwenye kona anakuwa mkali kuliko chui>>> nape na maneno yaliyojaa hasira na chuki yanatoka wapi, kama ni kukanusha hoja ongea kama mwanasiasa aliyekomaa na sio kuropoka ...hizi ni dalili za mwisho kwa ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.