Waweza kuwa right,muhimu kwetu ni Amani,utulivu, upendo na haki.
Mwenyezimungu yupo Ndugu zanguni,yeye anatuona lakini sisi hatumuoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kitaalam na sina shaka na hilo.Swali......Je hao wenye kutoa hayo matamko wanayajuwa hayo..???
Uelewa wangu CCM ni zaidi ya serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Masheikh zetu wako pia,tafadhali unganeni katika kulikemea hili pia,sio munaungana katika ile kamati ya Amani tu.
Nape come back pse.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nayaheshimu maoni yako lakini sikubaliani nayo.Corona ni kama wapinzani ni kauli ya ajabu saana....Nape wetu kwa vile kesha omba na kasemehewa,arudishwe asap
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabaharia huwa wanasema ..."ONE DAY YES".
Sasa hivi zile kauli za kawaida..."hamukumuelewa alivyosema" zita anza ku trend.
Tumuombe ALLAH aturudishie busara
Sent using Jamii Forums mobile app
Je ni ruksa kwenda kuwasabahi kina Halima na Ester pale Hospital na kuwafanyia Duaa
Wanawake wawili wamepata umaarufu mkubwa kuliko kifani
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko tayari kusahihishwa......
Naona kama vile kuna mitego inawekwa ili tunaswe na baadae watu wa duniani waanze kutuita jina baya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni ali nacha au tuseme HANDAS. ..Membe haendi chama chochote,atabaki huko huko CCM.Naona atakwenda Mahakamani kudai utaratibu wa kumfukuza haukufuatwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kama Mungu(ALLAH),aliyeumba ardhi na mbingu
Kwa Wakiristo huu ni wakati wa kwa Resma
Kwa Waislaam huu ni Mwezi wa Rajab.
Rai yangu...tuzidishe maombi kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sentesi yako ya mwisho mmhhhhh!!!!.Mimi na weye na wengine tunyanyuwe mikono yetu juu kumuelekea ALLAH tumuombe atujaalie amani,upendo,mshikamano,afya na moyo wa kusaidiana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni lile lile.....wamekatwa mikia......lakini karibuni na nafasi mutapewa.sisi tutabakia vivi hivyi....wafia chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sipo upande huo na wala siungi mkono hawa wahamiaji kupewa nafasi ya udiwani,na ubunge.
Sababu zipo nyingi saaana ingawa kuna tetesi kwamba hawa wahamiaji wataula wa chuya this time,yaani wasidhani wao ni better kuliko wafia chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani huku ni ku m dhalilisha Msajili wa vyama vya siasa vyama vyake.
Tell u what....ALLAH yupo na hizi mbinu will one day cost u
Rgds
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Mh.Kange Lugola anajisikiaje sasa hivi?
Kwani Mh.Lugola akiona zile clips zake kama ile ya kumdhalilisha Kamishna wa Magereza,ya kukata mauno nk anajisikiaje?
Sisi Waislam siku zoote tunaomba SUBRA na twasema ALLAH ndiye ajuaye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekuwa tukisikia au kusoma kwamba CHADEMA ni chama cha wachagga....mimi siamini...sasa basi niamini ni cha wachagga na huko Moshi ni kwa Wachagga, kuna haja gani ya wachagga wachaguwe wengine wakati li chama lao lipo..??
Waswahili huwa wana msemo eti Mdomo huumba....
Sent using Jamii Forums...
Nadhani sisi tuna angalia kwa upande wetu na wao wana angalia kwa upande wao,laiti soote tungeangalia upande mmoja,sasa hivi ie 2020 tungekuwa mbali tena mbali sana.
Tuekekeze mikono yetu juu kumuomba ALLAH atujaalie tuwe wamoja na tutofautiane kina mawazo kwa lengo la kujenga na siyo kubomoa...
Wafiwa poleni saana.
Narudia tena kifo ni mawaidha au ni mafundisho kwa sisi tuliobakia,tufanye kila kitu kibaya au kizuri,siku ikifika haitozidi dakika wala sekunde tutakufa na kusingizia maradhi,ajali ya gari,kulogwa nk..nk...kuwa ndiyo sababu ya kifo,sasa basi tufanyeni ibada na tutende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.