CCM walikua na hali ngumu kuhusu kuzuia/kuruhusu haya maandamano.
Kwa kifupi, they were damned if they do, damned if they dont.
Mwisho wa siku it seems wameona demage ya kuyazuia ni kubwa zaidi kuliko kuyaruhusu.
Kila la heri kwa Chadema na watanzania wote mtakaoshiriki.
Hapo #3, hii kitu aliniambia mdogo wangu. Alifunga safari kutoka Mkoani mpaka Dar kupata huduma., muda wa sadaka akaanza kuita wenye...elfu50 waje mbele watoe...sijui 40...akashuka mpaka buku buku. Mdogo wangu amerudi yupo very disappointed. KiVyovyote vile, ni kitu kinachoshangaza mtumishi...
Mwaka kati ya mwaka 2011-12 kuna rafiki yangu alikua anatoka chuo kurudi nyumbani mida ya usiku, njiani akakutana na vibaka wakamwambia awape simu, katika harakati za kujibizana kibaka mmoja akamchoma bisibisi ya moyo, akafariki pale pale.
Sometimes kuwapa wanachohitaji inaweza okoa maisha yako...
kwa vyuo vya uma inalazimu kuwa na Bachelor degree, hii ni kutokana na vigezo ambavyo wameweka. Kwa mfano tangazo la TA linasema uwe na bachelor degree kwenye field husika na GPA isishuke 3.8 (au 3.5 kwa baadhi ya vyuo). Kazi unaiombea ajira portal sasa kwa namna mfumo ulivyowekwa kama hauna...
Ili ufanikiwe inapasa kufanya kazi na kile ulichopewa/barikiwa. Wote wawili wamepambana kadiri ya uwezo wao na mwisho wa siku wamefanikiwa. Safari ya Mama Grace imekua ndefu kuyafikia mafanikio kutokana na ukweli kwamba hakua amebarikiwa sana ukilinganisha na Mama Caren.
Wote ni wapambanaji...
Hapa tunaongelea vyuo vikuu (Public na private) ambavyo vipo chini ya TCU. Soma vizuri hapo kwenye academic staff Qualif. and recruitment, soma mwanzo mpaka mwisho. Ishu ya GPA ya 3.5 imekua addressed
Upo sahihi mkuu. Ni mazoea yangu tu niliyonayo ya kurefer kitu chochote kinachotuongoza kama sheria. It was an oversight. Nashukuru kwa kunirekebisha.
Itambulike ya kwamba, ni Std na mwongozo kutoka TCU na si sheria za nchi ya Tanzania kama nilivyoainisha awali.
According to TCU (2015), ili uweze kufundisha public uni. Unapaswa kuwa na GPA ya chini kabisa 3.8 na 4.0 kwa BSc. Na MSc. respectively. Kwa vyuo vingine unaweza fundisha ukiwa na GPA BSc. 3.5, kuna kazi niliona hivi karibuni walikua wanachukua minimum 3.8 kwa MSc. Ni kitu adimu sana.
So hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.