Dodoma wapo pia. Wanakaa kwenye mahema ya blue, wanaweka pikipiki, tv, redio wa kuzuga eti zinashindanishwa.
Mmoja yuko kwenye gari.
Mwingine anaongea kwa microphone
Mmoja anachezesha kamari.
Alafu cha kushangaza na akina mama wnajihusisha humo.
Ukija dodoma ukiwaona hawa wanakaa karibu...
SABABU ZA SIMU "KUCHEMKA"
* Imezidiwa size : Size ya memory imejaa. Na tena ukiwa unatumia memory card na umejaza vitu basi hapo ni shida
* Unaitumia wakati ina charge : Kila betri ina charging cycle yake kwahyo uki interrupt charging cycle ya baadhi ya simu inashindwa kuchaji na joto...
According to Philosophy. Mafanikio ni yale unayoweka mwenyewe. Unaweza kumuona Messi au Ronaldo wamefanikiwa lakini wao wenyewe wanaona bado hawajafikia malengo. Kwahyo ndio mtazamo wangu.
Kuhusu pesa na elimu. Elimu ni kitu kipana. Unaweza ukawa Na Phd ya Lugha lakini ukiumwa unaweza...
Nigeria ina Abuja
USA ina Washington DC
ni ili kutenga serikali na private sectors. Its economically advised kugawa fursa nchi nzima
Hyo plan ilikuepo tangu enzi za uhuru. Wana move taratibu sana. Ila Sasaiv wanasema wanataka wawe serious
Back end programming. Ni kitu kikubwa sanaaaa. kwa hiyo angalia unataka kufanya nini kwanza ndipo utafute language yako.
Ukisoma ohp kama php ukija kumaliza utashangaa huwezi fanya chochote. So anza na lengo. Je ninasoma php ili nifanye nini?
pia naomba tuwe connected instagram...
Naona mnapuuzia sana hii njia ya Facebook PPC.
Unaonaje nikikuambia
*unaweza ku target watu wanaopenda nyimbo za Hiphop tu?
*Unaweza ku target washabiki wa mkoa flani tu
*Unaweza ku target ma promota wa muziki tu
*unaweza ku target wasanii tu.
Blogs ,Redio, TV zinapitwa na wakati karibuni...
Brother kwanini usijitangaze wewe kama wewe?
Ulishawahi kua na wazo lakufungua website yako. Ukaweka picha na maelezo na kazi zako?
Ukaweka na mawasiliano, sanasana Instagram na facebook?
Kuna njia nzuri inaitwa Facebook PPC ya kujitangaza, mimi ni mtaalamu wa hiyo kazi,
Utanilipa sh 200...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.