Kama mada inavyojipambanua kuwa ni swali. Nimekutana na wadau wa masuala ya afya wakijadili kuwa ati kuna binadamu wana ukosefu wa kitu gani sijui kwenye damu yao na hivyo kuwafanya hata wakikumbana na virus wale HIV bado hawataweza kuugua UKIMWI.
Wataalamu hapa JF naomba mtufafanulie kama ni...
Hivi utaratibu wa kutoa au kutunuku PhD ya heshima ukoje? Hivi hao wanaotoa hiyo PhD ya heshima kama waliweza kuwapa akina fulani wanashindwaje kumpa Babu wa Loliondo?
Nilimuuliza Chinga mmoja kwanini majina yao ni tofauti sana na mengine? akanijibu :aaah njomba jina langu ni nyie ndio nnaotumia sasa kwa nini niwachagulie jina zuri? kama ningekuwa nalitumia mwenyewe sawa.Duh!!!
House girl mmoja kutoka nyanda za juu kusini ,alitoa kali ya mwaka alipohojiwa na bosi wake kwanini toothpick zinaisha haraka nae akajibu: Bee wanaofuja huto tuvijiti ni hawo wanao maana wakitumia mara moja tu wanatupa lakini mimi nikichokonoleaga meno bee narudishaga humohumo kwenye kachupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.