Daudi alishawaza uwepo wa watu Kama wewe na akaandika kupitia Zaburi 14: 1 na 53:1
Nakubaliana na mleta mada kuwa kila tukio linalotokea ama sintofahamu yeyote, Biblia imeacha majibu.
Nafasi bado ipo, Yesu anakuhitaji Ndg.
Wasalaam
Ndugu wasomaji, nimefuatilia nikaona kuwa wasomaji wangu wengi hawakuridhishwa na kuimaliza story bila kuwepo kile kipengele kinachoonesha wazazi walizipokeaje zile taarifa za utekaji.
Nimeona si busara kuwaacha hewani katika hilo tukio ambalo pia kweli lilikuwa important kwangu...
Niliamua kuifupisha sn ili iishe maana muda wa kuandika ni mfinyo na wasomaji hawakuelewi husipobandika epsod. Nimejaribu kufanya walichokipenda. Kumalizia story bhasi!
😆😆😆😆 Unaajua,nikwambie kitu, Mimi nilikuwa natokea mbali hivyo wazazi zangu walikuwa wananijali sana mzee alikuwa anafanya kazi taasisi kubwa so hakutaka nipate shida kabisa.
Ilikoishia......
Ko....nko...nko...nko...nilikuwa nagonga mlango wa Ile nyumba ya Mchungaji wa Kanisa la KKKT. Baba mmoja mwenye Kati ya umri wa miaka 45-50 ndiye aliyenifungulia mlango.
Inaendelea....
Ile anafungua tu, facial expression yake ilionekana kubadilika gafla baada ya kuona (...
Kuna baadhi ya watu wanaudhi sana hapa JF. Kumbe ndio maana watu wanaishia katikati ya story zao wanakimbia. Unakuta ka mtu kanakula ugali wa kuletewa kanashiba kanakosa sehemu ya kupumulia kanakuja kupumulia hewa hapa.
Wewe hujalazimishwa kuifuatilia hii story. Nitafute attentions? then for what?! Nitafute attentions kwa watu wasionijua? Kweli JF hii ni kokoro linalozoa kila ana ya watu.
Niliwambia hapa kuwa mimi pamoja na kuandika hapa niko nabanwa na majukumu ya kifamilia. Thus, I can't keep on typing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.