Asante sana Dr Slaa kwa kutokubali kuunga mkono ccm na mfumo wao singivu,lakini nakuomba tu ulejee kwenye uwanja wa mapambano umalize kazi uliyoianza.Usituvunje moyo tunakusubiri sana CHADEMA kama si leo ni kesho,Mungu azidi kukuhekimisha.
Katika hali yoyote uliyonayo na mahali ulipo fahamu...
Twatwatwa mpaka nimeguswa Mimi pia nimeshiriki sana ktk shule niliyosoma,nitamtafuta mwanadakawa atuwekee picha kama mdau alivyoomba.
Nafahamu kanuni ya kubarikiwa huanza kwa utoaji,juhudi za hawa jamaa si za kubeza hata kidogo.
Kwenye taarifa ya habari ya ITV tarehe 26.04.2015 saa mbili usiku,niliguswa na taarifa ya wanafunzi waliosoma zamani katika shule ya secondary Dakawa iliyopo Morogoro kujitoa na kusaidia maendeleo ya kitaaluma shuleni hapo.
Lakini zaidi wamechangia kuweka vizuri mazingira ya kitaaluma shuleni...
Nimeangalia na kufuatilia kwa karibu harakati za kisiasa zinazoendea nchini mwetu,na hasa zilivyonogeshwa na mwanasiasa machachari Zitto kujiunga na ACT-Tanzania,chama anachodaiwa na mahasimu wake kuwa alikiasisi yeye na wenzake akiwa ndani ya CHADEMA ambamo ndimo alikuzwa na kulelewa kisiasa na...
Bado sana mabadiliko haya hayajagusa roho ya uhamiaji,huyu jamaa anaweza akaingizwa mjini nasafu iliyojijengea ufalme pale makao makuu.
Kama kunakitu muhimu cha kukisuka upya ni kuanza na Idara ya utumishi anatakiwa aipange safu makini inayojali taaluma na majukumu.
Huu mzigo wa ma-naibu...
Nimeshtuka kidogo kumwona balozi wa China nchini TZ ktk mkutano wa CCM akiwa na Kinana(mzee wa Tembo).
Balozi huyo alikuwa amevalia kofia ya CCM na akapewa nafasi ya kuongea kidogo ktk mkutano wa Chama cha Chakachua Kila kitu,mkutano huo ulikuwa unafanyikia mkoani Shinyanga.
Wadau nisaidieni...
Inashangaza mteule wa Jk bw Gambo a.k.a Serengeti boys kuagiza Waalimu wote wiayani humo wachangie bati moja moja la geji thelathini na mbili.Hiyo ni kutokana na kusimamia utekelezaji wa mpango wa big result now.
Baadhi ya waalimu wamepinga vikali amri hiyo kutokana na kuwa kinyumacha taratibu...
Hii inathibitisha pia pasipo na shaka kuwa hata maneno na mchango anaotoa bungeni hautoki moyoni,bali NI KWAAJILI YA KUGANGA NJAA.
AMEWASAKAMA WAANDISHI ILI AGANGE NJAA!!!!!
Amewashambulia waandishi wa habari kuwafuata wapinzani walipotoka nje.
Akadai habari ni mswada na si kutoka nje, amesahau kuwa matukio haya yanaendana yaani wapinzani wametoka kutokana na mchakato kuanza kuchakachuliwa na maccm.
Waandishi wa zama hizi si wa zama za Nkamia.
Kwa umbumbumbu wake...
Kwanza naomba moderator usiiunganishe post yangu na nyingine.
Watanzania tumesikia kishindo kikubwa kilichofanywa na wauza dawa za kulevya.
Kabla mwangwi haujapotea masikioni kikaja kishindo kingine cha Dr Mwakyembe (mfu anayeishi).
Kishindo cha Dr ni cha angalau kukabiliana na kishindo cha...
Dr Mwakyembe anastahili pongezi angalau ameonesha kwamba kuna kitu ambacho serikali inaweza ikafanya dhidi ya wafanyabiashara wa dawa za kulevya.
Mimi sina tatizo na aina ya samaki anaowavua mana hawa dagaa watatumika km chambo kuwapata papa.
Lakini baada ya pongezi hizi kuna haja ya kwenda...
Wenye upeo mdogo km Ritz,Chama,Simiyu yetu,Hamy-d,Faidha foxy,katiba yetu nk walidhani agizo la PM "WAPIGWE TU" liliwalenga CHADEMA na wafuasi wao.
Kama mna akili ya kuelewa eleweni sasa kuwa hata nyie
hamko salama.
Huyo Chacha na maafisa wa aina yake wamelewa madaraka inasemekana amekaa hapo airport zaidi ya miaka 15,na hivyo kuifanya ofisi km danguro.
Ushauri kw kamishna wa uhamiaji km naye hajalewa na posho km inavyosemekana,afanye mabadiliko makubwa
ya kiuongozi hapo uwanja wa ndege.
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.