Sisi kuingia vitani ni kwa sababu
Muamar gadaf aliyekuwa rais wa libya alitoa msaada uende Tanzania kwa masharti : ili kupata msaada ule lazima uambatane na kujengwa msikiti mkubwa msikit huo ulitarajiwa kujengwa kagera lakin bhaada ya mzee kukaa na wazee wenzie wakapinga kujengwa kwa msikiti...
Natanguliza shukrani zangu kwenu,
Mimi ni kijana wa miaka 23 jinsia yangu mvulana elimu yangu ni kidato cha nne natafuta kazi kwa yeyote anaeweza kunisaidia tafadhali anisaidie nina uelewa wa kuuza duka la vyakula, nina uelewa na biashara ya madawa ya kilimo na mifugo.
Tafadhali msaada wa...
Natanguliza shukran zangu tafadhal wadau wa jukwaa hili naomben maelekezo jinsi ya kubadili au kurekebisha jina ninalotumia kweny google
Mfano natumia mandelaputin@gmail.com
Nataka nibadili iwe mandelanjau@gmail.com
Kwa wale wenye uelewa kuhusu hili tafadhal msaada wenu
Naomba kuwasilisha
Ndg WanajamiiForums kwanza naomba nitanguluze shukran zang kwenu
Hakika tunaona juhudi za viongozi wanaoendelea kupambana na madawa ya kulevya tumeona watu mbalimbali maarufu na wasio maarufu ila nimebaki na swali la kujiuliza je ni kwa nn viwanda visithibitiwe kwanza kabla ya wauzaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.