ccm ndo wauwaji wamemwambukiza huyu jamaa,fuatilia historia ya nchi hii utajua kuna mauaji ya watu mbalimbali wakiwemo wanaccm na hata viongozi wa serikali kupitia vyombo vya usalama au kwa kufanya njama na watu wa kawaida
kuna kauli kama rais wa kasikazini,kushambulia mh lowassa zitakupa picha kamili huyu millya yupo kundi gani.nape wapi kusemea hili ili story inoge zaidi.....can't wait!!!!!!!!!!!!!!!
acha udini kinachojadiliwa hapa ni siasa wewe kwa kutumia hiyo akili yako finyu umerukia context za uduni.utanaka kujenga image kwamba kila tunapojali siasa za vyama vingi kuna anticipation ya udini?
banae...kwani huyu mwanamke kaongopa!!kikwete hatufai, amefail sasa amayumbisha taifa letu,binafsi sitaki kujifikirisha ati shy-rose angukuwa mbunge mawazo yake yangekuwaje, ila kubaki kwenye ukweli kwamba bariz hamna kitu
tumia akili kaka,kwani kuna wasomi wangapi ccm wenye profile kama hiyo na hata zaidi lakini hawajielewi wanachofanya katika taifa hili?taifa lina hali mbaya kabisa hatuhitaji ma cv tunahitaji wachapa kazi wasiobweteka na mfumo huu wa kinyonyaji,huyu jamaa wa magamba kafumu hawezi kuleta jipya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.