Search results

  1. nasrimgambo

    Mfanyakazi anatafuta ajira

    habari wanajamii forum, mfanyakazi anatafuta ajira sifa zake ni kama zifuatazo (1) ana bachelor degree masuala ya banking and finance (2) cheti cha film and Tv production (3) experience ya kazi ya marketing (4) experience ya kutengeneza filamu na video ads (5) ana skills za graphics design...
  2. nasrimgambo

    Je, asilimia ngapi ya Watanzania wanaelewa ama wanazungumza lugha ya kiingereza?

    Japokuwa watu wa sensa huuliza lugha za watu, inaonekana ni moja ya takwimu ambazo huwa hawajisumbui kuzitaja. Pengine huonekana si muhimu, ama pengine watu huwa hawaiulizii hiyo takwimu. Ila, binafsi, naamini kingereza hadi sasa kipo kwenye tano bora ya lugha zinazoongelewa zaidi nchini, ama...
  3. nasrimgambo

    INAUZWA Lens ya camera inauzwa

    Ni ya Canon 75-300mm 0685416752
  4. nasrimgambo

    Stendi ya taa, kwaajili photos ama video production inauzwa

    Bei 75,000 Goba Dar es Salaam 0685416752
  5. nasrimgambo

    SIMULIZI: Tubu

    Kijana Rahim anatokea kumpenda binti Sarah katika nyakati za mwisho za uhai wa binti huyo. Wasichokijua ni kwamba penzi lao limeletwa kwa nguvu ya ajabu ili mtu aliyeharibu maisha ya Sarah atubu na kulipia dhambi yake. Unaweza pia kuisoma kwenye telegram https://t.me/bongosimulizi
  6. nasrimgambo

    Kwa mnaohitaji Graphic designer, video editor, camera nipo hapa

    Habari, Kwa mnaohitaji vifaa vya production, cameraman, editor, graphic designer karibuni Tunakufanyia kazi yako kwa usahihi na umakini mkubwa Mawasiliano yetu ni 0685416752
  7. nasrimgambo

    Mashine ya kutengeneza popcorn inauzwa

    Ishauzwa asanteni
  8. nasrimgambo

    Tujuzane zaidi jinsi ya kuwa muuza hisa na bondi

    Habari, Kuna hili soko linaitwa soko la hisa la Dar es Salaam (DSE) hapa nchini kwetu na kuna wauzaji wa hisa na hizo bond Wengi tunavutiwa na habari zao hawa watu wa hisa na bond na pengine kuna fursa nzuri tu kwetu vijana Ijapokuwa tunafahamu hisa ni nini na bondi ni nini, tupo wengi ambao...
  9. nasrimgambo

    Biashara ya Mgahawa: Maswali, Majibu, Ushauri

    Habari wanajamii forums, habari wajasiriamali. Nafungua uzi huu ili kuleta pamoja wadau sisi wenye maswali kuhusiana na biashara ya mgahawa ama biashara ya chakula, na kuleta pamoja wale wenye uelewa wa biashara hii, mimi nitaandika maswali yangu, mwengine yeyote mwenye maswali nae basi aulize...
  10. nasrimgambo

    Ule umati wa Kariakoo

    Ule umati wa kariakoo ambao unatia hasira, maana kama unastress inachanganya sana kupigana vikumbo na kuminyana minyana na watu, huku jua kali na watu kusimama bila sababu na kuweka msongamano makelele ya watu na magari, Serikali imeuona ni mdogo sana, imeamua kujenga upya soko la Kariakoo kwa...
  11. nasrimgambo

    Njooni mtazame kazi hii ya kitanzania

    Link ipo chini, katazame huko youtube, like na u subscribe asante sana. Filamu Pictures, wanawaletea kazi ya filamu ya kitanzania iitwayo PETE Kutana na Bwana Lidawi, mvuvi mwenye hali ngumu na mke mgonjwa na jinsi anavyoingia matatizoni kutokana na pete ya maajabu iliyofika katika ulimwengu...
  12. nasrimgambo

    Wewe ni rika gani?

    1-5 watoto wadogo 5-10 watoto 11-15 young teenagers 16-19 elder teenagers 20-29 vijana wadogo 30-39 vijana wa kati 40-49 vijana rika la juu 50-59 middle age/ rika la makamo 60-69 wazee wadogo 70-79 wazee wa kati 80+ / na kuendelea - wazee rika la juu/ wakongwe
  13. nasrimgambo

    Katika kutoa huduma za mabasi ya mwendokasi DART, serikali inapiga mdogo sana

    Habari, Jamani hali ni tete katika huduma za mabasi ya mwendokasi Mara mia daladala, Mabasi haya ni zero, ni sifuri, hamna kitu, ni bure kabisa, total rubbish, nada. Muda wa kusubiri basi unazidi kuongezeka kadri siku zinaenda, ni kawaida kupoteza nusu saa hadi dakika arobaini na tano...
  14. nasrimgambo

    Nani anafahamu jina la filamu hii ya kihindi?

    Habari Kuna filamu moja ya kihindi, televisheni ya Capital tv walikuwa wanapenda sana kuionesha, ni nzuri sana, kwa muda mrefu Nimekuwa nikiitafuta ila sijawahi kufanikiwa kupata jina lake Muvi yenyewe ni ya kizamani (pengine ilichezwa miaka ya 1960s) Kwenye muvi, kuna Prince mwenye uchu...
  15. nasrimgambo

    Sensa na Idadi ya wanaojua Kiingereza nchini Tanzania

    Sensa inakuja hivi karibuni, Moja kati ya takwimu ninazotaka kusikia ni takwimu za lugha. Je, Watanzania wangapi wanaweza kuongea lugha za asili? Je, Watanzania wangapi waliopo wana zungumza Kiswahili kama lugha ya pili? Yani si lugha waliyoanza kuongea kama lugha yao ya kwanza. Je...
  16. nasrimgambo

    Makaburini Tanzania vs makaburini nchi za wezetu

    Sijawahi kufika ulaya, ila naionaga ulaya kwenye tivi kila siku, hivyo nimewahi kuona makaburi yao kwenye tv nikacompare na yetu Sasa, hivi kwa nini makaburi yetu huku afrika hayako katika mpangilio, mamiti majani yanaota tu hakuna maua ya kupendeza kunatisha pengine watu wanaamini kuna mizimu...
  17. nasrimgambo

    Mgogoro wa Ethiopia unadhihirisha umadhubuti wa mfumo wetu wa mikoa dhidi ya ule mfumo wa majimbo

    Habari wanajamvi, Kama ilivyo kawaida, kufanya tafakuri ya mambo yale mtu anayoyasikia maredioni na magazetini kuhusu yanayoendelea kwenye siasa za nchi mbalimbali. basi nami nimejikuta nikiyatafakari sana yale yanayoendelea huko Ethiopia na vita vyao vya serikali ya kitaifa na wanamgambo wa...
  18. nasrimgambo

    Amapiano vs Singeli

    Yote ni aina ya muziki wa kiafrika kutoka mitaani wanakoishi Waafrika wa hali ya kawaida. Amapiano nasikia inatokea mitaa kama Soweto, Katlehong, Vosloorus ama Mamelodi huko Afrika Kusini. Tena ulionekana muziki wa watu wa mitaani. Lakini hatimaye huu mziki umekubalika na kuigwa na watu wa...
  19. nasrimgambo

    Majina ya kijerumani ya miji na maeneo mbalimbali ya Tanzania

    leo nimeingia wikipedia na kusoma juu ya historia ya koloni la ujerumani ya afrika mashariki (deustche ostafrika) /(german east africa). katika kusoma huko kilichonifurahisha ni kuona majina ya kijerumani ambayo yalibatizwa kwa maeneo mbalimbali ya nchi yetu, kipindi hicho cha utawala wao...
  20. nasrimgambo

    Tabia ya watu kucheka na kudharau sana kitongoji cha jiji la Dar es salaam kiitwacho Buza

    kumeibuka tabia ya watu kucheka na kudharau sana kitongoji cha jiji la dar es salaam kiitwacho buza yani buza ingekuwa mtu, sa hivi angekuwa kajifungia ndani asitoke nje kwa aibu ya kuchekwa, kila kona ni buza buza buza, utakuta mtu kasimama kituoni mara daladala ikaja watu kwa nguvu...
Back
Top Bottom