soma mechanical au electrical engineering ndo utakuwa na upana wa kuchagua soko la ajira katika viwanda vyote unavyovijua electronics utaishia customer service kwenye makampuni ya simu tu na si pengine
du hata kutoa mizigo bandalini kunahitaji degree sijawahi sikia degree ya namna hiyo ulimwenguni kote juzi kuna mtu aliniambia kuna chuo kinatoa degree of hotel management du kweli sasa hivi vio inabidi tuvipige tochi hatari sasa.
du wakuu mbona naona humu kama watu wanatambiana ohoo mimi nilipata hivi ohoo cv yako imefanyaje sijui, bwana mdogo tuma tu maombi mengi usikate tamaa wakati mwingine na bahati inachukua nafasi yake omba na mungu akusaidie pia usikate tamaa
du kweli binadamu halidhiki inamaanisha kwamba kama wangekufanyia interview usingepita ukabebwa leo unataka kuwa meneja sasa utaweza kweli kuwafanyia wenzio interview?ukiwa kama meneja mwambie owner ukweli kwamba unataka kuwa meneja atakubeba tu kama mara ya kwanza au haziivi tena
vile vile pita pita kwenye makampuni ambayo waliokutangulia graduate, wapo na wanafanya vizuri acha cv yako pale hata kama hawajatangaza kazi you dont loose manake kazi nyingine hazitangazwi wanaangalia kuna cv ngapi wanaita
samahani wadau naomba kuuliza hivi ili kupata exemption TRA ya magari ni lazima gari unaloombea liwe la mwaka 2002 na kuendelea, naomba msaada jamani kwani kuna utata mwingi kwa watu ninaowauliza na ni kodi gani ambazo unasamehewa naomba msaada jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.