Nimesikiliza hotuba ya mkuu wa mkoa wa Dsm, mhe. Makonda na ya Kamishina wa Mamlaka ya Kupambana na Dawa za kulevya, mhe. Sianga. Katika nyakati tofauti kila mmoja kazungumzia hatima ya mtumiaji wa dawa za kulevya.
Mhe. Makonda:- Watu wanasema nakosea kumkamata muathilika wa dawa za kulevya na...
Habari za jioni wanaJF, Nitangulie kumshukuru Mungu kwa siku ya leo.
Na ninamshukuru kunipa nguvu hadi kuwaangalia Zimbabwe wanavyomtesa bingwa wa jangwa(Algeria).
Kwa mkiki wanaoupata Desert foxes sidhani ka Tz stars wanaweza uvumilia. Kiukweli soka la bongo tupunguze siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.