Kwanza niwapongeze sana vijana na watu wote mliyofanikiwa kudahiliwa katika kujiunga na masomo ya juu katika vyuo mbalimbali
Kwa mliyobahatika kupata mkopo niwashauri kuja na nguvu binafsi yaani jitaahidi kwenda na fedha za matumizi za kutosha. hali ya sasa si kama zamani lolote laweza kutokea.
Hotuba za mh.rais ni copy and pest hivi hakuna mambo mengine kila siku hewa, hewa ,hewa.
Nimeanza kukuchukia mjomba sherehe za Jeshi zinaunganishwa na siasa hili ni tatizo na mjomba umeamua kuongeza kikosi cha vijana elfu 3 walete tu ili ujiimalishe.
majini huwa hayatafutwi ila kuna tabia ukiwa nazo yatakufuata tu.... kwahiyo usiangaike kuyatafuta we anagaika natabia zao alafu kila kitu kinakuwa automatic...
Uzuri wa jini anauwezo wa kubadilika na kuwa mwanamke au mpenzi umpendae kiumbo na tabia.
Tabia za mvuto wanazopenda majini...
Ukikutana na jini hutatamani kumwachaa ila uwe shujaa wakati fulani.
Nilikutana na chini anakwenda shule evening class, akanambia anasoma ili kurudia mtihani wake wa kidato cha nne...
Nilimshawioshi asiende shule badala yake tukaenda geto... yaani anaomba kitu kama huna basi kufumba na kufumbua...
hapo mzee umepewa condition kuwa kwa kuwa wewe ndo umesababisha ni lazima umpatie mtaji si ajabu kakamatwa na nondo kafukuzwa chuo...
au uwezo mdogo alishidwa kuwa busy na course work anawezaje kuwa busy kwa kazi ya kujiajiri?
Kumbe shida ni kuongea hadharani nilijua amekosea kama....JPM anakwambia nilipokuteua nilikutangaza hadharani na nikikutumbua nakutangaza hadharani.
Na sisi tulikupigia kura hadharani na uliapishwa hadharani na ukikosea tunakukosoa hadharani...
When i grown up i want to be LISU
Nchi hii ya kuoneana sijui imekuaje sasa hivi polisi wanaonea wananchi na wananchi wanaonea wenzao...hakuna wa kumwamini siku hizi
Unaweza kuuwawa na raia mwenzako au mikononi mwa polisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.