Ivi mna chuki binafsi na wahaya nini, mtu anajitungia uzi ili mradi awachambe wahaya na mlivyo na uwezo mdogo wa kufikiri mnatokwa mapovu kidogo mpasuke yaani mpaka mnataka kulia watu kama awa ndo wanahanzisha uzi wa dini x vs dini y akili za kuambiwa changaya na zako "A child who can wash...
Zinaweza kuwa za kweli kwani ni majuzi tu walipotoa data wailivyo kuwa wakiifanyia uchunguzi tanzania mbn watu awakusema walikusanya lini data zao hawa watu ni wasiri sana
Kachanganya radha kiganda hicho iyo kolasi ni ya ngoma ya Jose chameleon ktambo sana na ilikuwa hit song cc watu wa Mtukula kwenye border ya Uganda tunajua sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.