Mbona unasema hakuna alipokosea, alafu kama unamtetea kwa kukosea jambo hivi [emoji16]...au ndio unamtetea kwa kutokukosea kwake? Haha, nimecheka kwa sauti asee...
Wanawake bwana mara v-tambi mara ndevu mara v-bamia mara huyu anataka pesa hee...Basi tunawapa pesa mkanunue v-tambi, ndevu na v-bamia mpate kupika mle mshibe. Only thing we need in return ni silence na peace of mind.
Mkuu unauhakika miaka ijayo hutoitaji miujiza. Usije ukalaumu miaka ijayo kwamba ooh mbona miujiza hamna. Kumbe ni kwa kuwa we ulitaka miujiza mwaka huu tu!
Mbona simple!? Chukua Kalamu yako ya wino wa rangi husika, kalamu hizi hupatikana maduka mbali mbali, then fuatilizia maandishi ya kwenye kioo chako cha simu kwa kalamu hiyo, utakuwa umepata maandishi yenye rangi. Nikutakie mafanikio katika kazi zako.
Wewe! Sio mbele ya kuolewa na mkuu wa nchi. Nakuhakikishia Mr. Barrow hata angesema wewe uwe MKE wake wa 10, kwa ninavyowajua nyie wanawake wa siku hizi, ungekubali na hata ungemsaidia na kumtafutia MKE wa 11. Fotball team [emoji1]. Mchezo nini!
Kijana kumbe hata form 4 ulikuwa hujamaliza? Arrgh! [emoji53] ...nasikitika sana kama nlishawahi kuthubutu kukuita 'mkuu' na wewe kwa mbwembwe ukashindwa kutuambia kaka zako kuwa wewe hukuwa 'mkuu' na ukachukua jukumu la kuuvaa huo ukuu. Naomba ututake radhi kabla hatujakupa mwongozo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.