Mmmnh. Kushinda vita vya maneno si kisomo changu. Wacha basi nitulie tuama nitazame. Lakini ukweli haubadiliki. Infrastructure Nairobi over Dar any day. Nightlife nitawapa wanadar lakini tukija mambo serious, hapo tusidanganyane
Si ujigooglie basi. Wakati huo sina. Urombe hauanikwi hivi hivi. Sina hatihati kuwa yapendeza. Kama huamini si jinzi unavyoziposti za Dar hapa si ujichambulie mwenyewe za sehemu ulizotaja uone kama nakuhadaa. Mambo mengine ubishi wa bure tu. Hayajengi uchumi na si worth it
Mambo ya majengo ya mkoloni sijui kakuambia nani. Na basi heri nisalie na ushamba wangu kama ushamba ndio huo. Nashangaa tena sana. Hivi wewe umefika huku ama waongea tu. Hizi picha za mitandaoni unazotutumia hapa hazitoshi mboga mjomba. Nikikuambia Nairobi kuna Karen, Runda, Kileleshwa...
Tembelea Upper hill Nairobi kisha uniulize swali hilo tena. Majengo ya kuvutia ajabu. Mimi kwa kweli sioni lengo la ubishi huu nini. Hautabadilishi palipo kitanda changu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.