Aiseee..
Nimeona Niulize, Ni Kweli Kwamba Kati Ya Wana Ccm/ watanzania Mil 40, wanakosekana watu wapya ili walete changamoto mpya kwenye vyama vyetu?
Na Sii Tuu Kwa Vyama Hata Kwa Taifa. MAANA kila Kikuchwa ni Wale Wale Wanaofanya Yale Yale. Hii nini hasa inachochea?
Na Hapa upinzani wanapofelii. Huwezii waambia watu hawa hawa Wasiopenda Fatilia Vitu vya msingi wakaandamane for katiba Mpya na straight wakakuelewa wakati wanawaza Kodi za Miamala, Diamond Platnum, sijui Rollsroyce, sijui mtoto wa kajala.. Aiseeee
Hii swala la tozo na miamala ya simu hata likiondolewa basi Watanzania tupate funzo la kuwa, wafuatiliaji wa mambo na sio yakishaanza telekezwa ndio tuanze kelele nyingi.
Nasema haya kwa sababu tozo zimeanza jana tuu, lawama kibao mitandaoni na kila mmoja anapinga. Ila as wananchi nafasi ya...
Habari Zenu Ndugu Zangu.
Yes, THE FUSE TZ LTD, Ni Business Consultants Company ambao kwa Pamoja Tuna Deal Na
1. Business Registrations
2. Tra And All Tra Related Issues.
3. Loans Guidance And Assistance.
Hapo No. 3 ndo Msingi wa Hii Post. Kwa Wafanya Biashara Wenye Kuhitaji Kuanzia tsh...
Hii Nchi Iko Na Mzaha Sana Sana. Hakukua Na Haja Ya Serikali Kuunda Tume Ilitakiwa Iwape Nafasi Fire Kufanya Kazi Ya Uchunguzai sana sana Tuu Kwenye Kamati Ya Fire Ya Kufanya Uchunguzi wangeongezwa Wengine Ila Sio eti waziri Mkuu anaunde Kamatii Daaaaah tz Sie Bado sana.
Mkuuu..
Nje Ya Yote Kwa Hali Ilivyo sasa Ni Kama Mtaji Wa Yale Magari Ya Polisi Ya Usiku.. Maana Kila Bar Zinagonga Ngoma Afu wao wanadaka tuu 5,000 au 10,000 Imeisha Hiyo.
Afu Pia, Swala La Kelele Haliepukiki Kwenye Bae Yaaani Hata iweje.. Serikali Itafute Namna Ya Wenye Biashara Za Ma Bar...
Nitasema kwelii.
Hii nimeona niilete hapa jamvini guys, binafsi sikubaliani na serikali na watendaji wake hasa hasa kwenye suala la jiji la DSM eti biashara ya bar mwisho saa sita usiku.
Hii si sawa. binafsi nimekaa Uganda maeneo ya Kabalagala, aiseee wale jamaa baana pamoja na mavita vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.