Kitakachompeleka mtu mbinguni sio siku anayosali bali ni namna mtu alivyoufahamu ukweli na kuufuata
Kama kuna msabato anaamini kwa kusali tu jumamosi kunamfanya kwenda mbiguni bila kujali kama anafuata maagizo yote ya Mungu au la basi huyo anajidanganya.
Mtu yoyote bila kujali anasali dini gani...
Wewe tumia akili usiwe kama mtoto asiyejitambua,kwa akili zako finyu unabii uliopo kwenye ufunuo sura ya 13 unaendana na ellen g white?
Unaelewa maana ya mnyama kutoka baharini?
Ni lini Ellen g white alifanya vita na watakatifu
Ni lini ellen g white alimtukana Mungu
Ni lini ellen g white...
Tambua kilichokusudiwa na Mungu kidumu mwanadamu hawezi kukikomesha,siku ya saba ya juma kamwe haiwezi potea,soma isaya 66:23
Pia kama unakula nguruwe soma isaya 66:17 utapata mambo mazuri hapo
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Unaweza kusema ivo tu endapo ubongo wako wa mbele[cerebrum] una matatizo,kanisa linalobadili maneno ya Mungu,linalomrekebisha Mungu alichosema kwenye maandiko,linalosubutu kuandika"kwa mamlaka ya kanisa tumeamua kubadili amri hii".Biblia ni kazi ya Mungu,si mwanadamu,si kanisa fulani
Sent from...
Acha uongo wewe,wewe utakuwa ni kibaka tu wa mitaani,unaongea utumbo mtupu,bila shaka hujawahi kanyaga kanisa lolote,kama ulikaa kwa wasabato kisha ukatoka basi wewe una mtindio wa ubongo,huelewi na huta elewa kamwe
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Acha uongo wewe,unaposema biblia ni kazi ya wakatoliki una maanisha nini,biblia ni kazi ya Mungu mwenyewe,
Kanisa katoliki ndie adui mkubwa wa biblia
Mafungu mengi ya biblia yanabadilishwa taratibu na kwa siri sana kwa kupitia kanisa katoliki
Amri za Mungu zilizotolewa pale sinai zimebadilishwa...
Tatizo nyinyi hamsomi biblia,mnaenda kanisani kusomewa tu,ukisoma biblia ukihusianisha na historia ya ulimwengu utagundua kanisa katoliki ndilo lililofanya machafuko hayo ikiwa ni pamoja na mauaji ya wanaoshika amri za Mungu,catechsm imebadili hata amri za Mungu,linganisha amri zilizo kwenye...
Muuliza swali unajichanganya mwenyewe,swali lako ni nyoka mkubwa au mwenye sumu kali,maana naona umetaja hadi koboko ambaye ni nyoka mdogo tu kiumbo sema mwenye sumu kali kuliko wote
KUHUSU KUPATA MTOTO WA KIKE AU KIUME WAKATI WA KUJAMIIANA
Nadharia inasema hivi,Mbegu ya kiume[XY] ni ndogo kiumbile,ina kasi sana kutokana na udogo wake lakini tatizo lake ni dhaifu[less resilient],inawahi kufa.
Mbegu ya kike[XX] ni kubwa kiumbile,haina kasi sana ukilinganisha na ile ya kiume...
KUHUSU KUPATA MTOTO WA KIKE AU KIUME WAKATI WA KUJAMIIANA
Nadharia inasema hivi.
Mbegu ya kiume [XY] ni ndogo, ina kasi sana lakini ni dhaifu,inawahi kufa.
Mbegu ya kike [XX] ni kubwa, haina kasi sana lakini inauwezo wa kuwa hai kwa muda mrefu kuliko ile ya kiume.
Kutokana na sifa hizo
1...
Mwezi wa kwanza kwenda wa pili siku 33,mwezi wa pili kwenda wa tatu siku 26,mwezi wa tatu kwenda wa nne siku 32,hizo ndo siku za mizunguko yako.
Sijajua miezi iliyopita ulikuwa una bleed kila baada ya siku ngapi.
Bado mzunguko sio mbaya sana,hiyo ishirini na sita ndo imetufautiana na hizo...
Mzunguko wa hedhi una changamoto nyingi,maelezo yaliyo tolewa hapo ni kuhusu mzunguko wa hedhi wa kawaida usio na tatizo lolote[normal menstrual cycle]
Kuna mizunguko isiyo ya kawaida[abnormal menstrual cycle ambayo ina visababishi vingi na vingine sababu zake hazijulikani.
Miongoni mwa mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.