Search results

  1. sonjames

    Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

    Watu wanasahau kuwa sisi sote ni marehemu watarajiwa, unafanya like kama huvi? Mungu iponye Tanzania Sent using Jamii Forums mobile app
  2. sonjames

    Wapinzani kuweni macho na kauli ya leo ya Rais

    Binafsi simuamini Lowasa, nasema kweli lowasa simuamini ndani ya chadema, hata Sumaye pia simuamini, hivi kwa akili ya kawaida kabisa wale wafia chama watoke tu kirahisi ccm??? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. sonjames

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Kimetoa tamko na kulaani Jaribio lililoshindwa la kumuua Mheshimiwa Tundu Lissu

    Duh, kumbe ni mission ya siku nyingi e Sent using Jamii Forums mobile app
  4. sonjames

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya ni mmoja wa madaktari wanaomfanyia upasuaji Tundu Lissu

    Huu nauita upumbavu, tena upumbavuuuuuuu, nna hasira hakyamungu, ni aibuuuuu, mtu tangu juzi anaongea, na akataja na namba za gari zilizokuwa zinamgmfuatilia, Leo mnajifanya kushtuka!!!! Kweli mnajifanya kushtuka, huu sio ujinga? Bongolanda tunaelekea wapi lkn? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. sonjames

    Ukomando uliotukuka

    Duh, Mara paaaa! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. sonjames

    Lunch time.....!!!!

    Imetulia Sent using Jamii Forums mobile app
  7. sonjames

    Naitaka TCRA kumchukulia hatua za kinidhamu Sasha Kassim kwa ku-post picha za utupu mtandaoni

    Usiongee kabla hujafanya utafiti, anazo account zaidi ya Tatu fb, na kazi yake ni kuuza mkoba wa kubebea marungu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. sonjames

    Ukiona tu mpenzi,mke,mume ,demu wako anakusaliti mara kwa mara ujue humfikishi

    Usaliti ni hulka ya mtu, ni asili ambayo kamwe mtu kuiacha ni kujikana mwenyewe, wapo wengine hata umkojoze Mara kumi kwa tendo bado tu atachepuka maana ni asili yake, ni tabia yake. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. sonjames

    Yusuf Manji apoteza sifa ya kuwa Diwani wa Mbagala Kuu kwa kushindwa kuhudhuria vikao

    Yupo kwenye Mapito, ni wakati wake wa kujitafakari na kutengeneza na Mungu wake, na hakika ataamka tena, tumeagizwa kuombeana na si kuhukumu so atengeneze tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. sonjames

    Swali la Mama Salima Bungeni: Lini serikali itapiga marufuku uingizwaji wa headphone?

    Yethuuuuu, ni kweli kauliza swali hilo? Hapana bhana mi thiamini, kama ni kweli basi atakuwa alipitiwa tu jamani. Hahahaa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. sonjames

    Naitaka TCRA kumchukulia hatua za kinidhamu Sasha Kassim kwa ku-post picha za utupu mtandaoni

    Duh, duh, nimezitazama nimeishia kuliamsha DUUUUUDE! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. sonjames

    Geto!

    Hahahaaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. sonjames

    Ushauri wangu kwa Raisi Uhuru Kenya, Do The Unthinkable, Now!

    Inavyoonekana ni KUWA hata familia yako haipo imara kwa sababu yako Sent using Jamii Forums mobile app
  14. sonjames

    Mchanganyiko wa vyakula vinavyoweza kutengeneza sumu

    Hahahahahahaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  15. sonjames

    Hawa Samaki wa bwawa la Nyumba ya Mungu ni zaidi ya pweza...

    Hshahaaaaa, pweza, kweli vijana Wa daresalamu ni janga Sent using Jamii Forums mobile app
  16. sonjames

    Jenga Nyumba yako kwa Gharama Nafuu

    Huwa nashangaaga kiwango cha elimu ya hawa watu, eti nyumba ya bei nafuu ml50!! Na ukitazama wanunuzi wote ni matajiri, nilithani wangetuambia nyumba za bei rahisi million5, mfano hawa nnsf wanafanyia biashara pesa zetu na hawatupi riba, wanazalisha matirilion ya pesa sasa wanashindwaje kujenga...
  17. sonjames

    KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

    Hii ni kweli au ni storry za kutufurahisha? Sent using Jamii Forums mobile app
  18. sonjames

    Dar ni ya pili kwa watu waoga zaidi Africa

    Na Tanzania ndo ya kwanza Duniani kwa kuwa na RAIA waoga, hahaha, nenda Tarime Sent using Jamii Forums mobile app
  19. sonjames

    Matusi kwa mtongozo wa siku moja tu

    Mkuu siku moja tu na kutongoza? Ungevuta hata wiki kidogo ili muwe na mazoea walau kidogo, au ungekaa hata siku mbili mkuu, halafu nadhani we ni domo zege, wanawake hupenda kutongozwa live maana husoma vitu Fulani kutoka kwa mwanaume. Sent using Jamii Forums mobile app
  20. sonjames

    Ifikie hatua uwanja wa taifa upewe jina

    Umewaza mbali mkuu, ila ni vyema ungeitwa Nyerere stadium Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom