much respect mr uko juu waambie watupe vithibitisho kuwa babu katumwa na shetani
hao ndiyo wale wanaokwenda kwa waganga wa kienyeji kuoshwa nyota wanajidanganya toka lini nyota ikaoshwa. Nawashauri wakanywe dawa loliondo
thanx
Mimeamini watanzania walio wengi ni wapumbavu waliopitiliza. Kwa nini nasema hivyo babu hapigi ramli, babu hakumtuma mtu akalete jasho la dala dala, babu hakumtuma mtu kuku mweusi au mbuzi mwekundu. Na hakuna kithibitisho cho chote kuwa babu anatumia nguvu za jiza. Wala hajaenda tofauti na...
wako watu wanamdharau babu kwa dawa anayotoa kwa sababu ya bei kuwa ndogo laiti kama babu angesema kikombe ni sh 50000/
wengi wangemwamini. Maajabu hayo ni kidogo yanakuja mengi zaidi ya hayo.mungu apewe sifa-amen
Wana FJ.
Katika ndoa kuna mambo mengi kuna wakati wa furaha na karaha kuna kupeana na wakati mwingine kunyimana pia. Utasikia mchana mtu na mke wake wanatupiana maneno makali hadharani. mr anaamua kuweka mgomo kutokula kuongea nk baadhi ya watu wanasema mrs akimshawishi wakafanya tendo la ndoa...
Mh huyo usimwite DK hana heshima hiyo huyo ni mganga wa kienyeji. Na ukumbuke wote wanao mpiga Babu vijembe wanakosa masilahi waliyokuwa wanayapata kabla ya Babu kuibuka. wanaotaka kwenda LOLIONDO waende Babu hapigi ramli.hachanji.hakuna mashaiti ye yote unapata kikombe unaondoka ukiwa fresh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.