Search results

  1. Ntwa A. Katule

    Ugawaji wa masafa ya redio: Ni kwanini kusiwe na ''frequency'' moja kwa kituo kimoja cha redio nchi nzima?

    Kwenye namba moja, kusema Frequency ibaki wazi, ni matumizi mabaya ya Frequency.
  2. Ntwa A. Katule

    Kwanini bidhaa nyingi zinazoagizwa kuja barani Afrika zinatokea China isipokuwa magari ambayo yanatokea Japan?

    Jibu ni kwamba, mjapani ndo alianza kuliteka soko la magari used barani Africa. Mchina ameingia kwenye soko la magari hivi karibuni. Soko la japan lina wateja wengi na hii imevutia makampuni mengi kuanzishwa kwa ajili ya kuuza tu magari ya mtumba ya Japana
  3. Ntwa A. Katule

    Inakuwaje unawekeza mamilioni ya pesa then unakaa pembeni na kuachia wengine ndo wakuchungie mali zako?

    Hii biashara unayozungumzia wewe mkuu ni ile tayari imeota mizizi. Inachukua muda kutengeneza system ili biashara ijiendeshe yenyewe. Huwezi ukawa ndo unaanza leo ukaniambia utakuwa na kila kitu in place wakati hujaanza hata kuingiza revenue
  4. Ntwa A. Katule

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Swali langu mimi linajikita kwenye nini faida ya kuwatumia wasafirisha mizigo kama silent ocean kwa maana ya kuwasiliana nao moja kwa moja? Je ukimuacha supplier ndo akutafutie mtu wa kuleta mzigo, nini hasara yake? Nitashukuru kwa kuelimishwa.
  5. Ntwa A. Katule

    Ukifika Capetown utashangaa sana

    Kiongozi kwema lakini? Kitambo sana.
  6. Ntwa A. Katule

    Wahitimu wenye alama za kawaida wanafanya vizuri sana kwenye kazi

    Lakini naona contradiction kati ya post yako na post ya mwanzisha mada. Je hao wanaonekana competent kwenye post ya mtoa mada wanazalishwa na nani kama wahitimu wote wanaishia kuwa wabovu?
  7. Ntwa A. Katule

    Fahamu kuhusu biashara ya kuuza nazi pamoja na uwepo wa masoko

    Sicho nilichomaanisha. NAchosema uzuri wa biashara haujadiliwi kwa kutazama nje. Na ukiona kitu tayari watu wengi wanasema ni fursa si rahisi kiivyo. Unajua mtu anayekushauri ufanye biashara fulani anatakiwa ni yule anayeifanya ile biashara na si mtazamaji. Huwezi kujua uzuri wa biashara fulani...
  8. Ntwa A. Katule

    Mnaonunua Alibaba na Aliexpress; Je, washaanza kutuma bidhaa baada ya corona?

    Ndo imeanza kufika hivi karibuni. Ila mingi ya kipindi kile cha Korona ni kama imechelewa
  9. Ntwa A. Katule

    Watanzania wanaotumia LinkedIn ni washamba

    Mimi ni mtumiaji wa Linkedin. Haya ndo ambayo nashauri mtu ufanye kabla hujaomba connection na mtu mwingine. Hakikisha ume update profile yako na imekaa ki profession. Unakuta mtu kaandika kwenye profile yake kwamba kasoma "Street University" au profile ipo tupu, hivi kuna mtu yoyote atakubali...
  10. Ntwa A. Katule

    Mpesa MasterCard Tanzania: Kama unapenda uhakika wa malipo yako mtandaoni USIITUMIE

    Pole mkuu kwa changamoto zilizokupata. Mimi huwa naitumia kwa transactions ndogo ndogo ambapo transaction moja haizidi Tsh 50,000 na so far transaction zote zimeenda vizuri. Na vile vile nimetumia kwa site iliyo trustred (aliexpress.com). Siku nyingine kama unataka kununua kwenye website kwa...
  11. Ntwa A. Katule

    Kipi ni bora, kuajiri Kampuni ya Ulinzi au kuajiri mlinzi binafsi?

    Hakuna kampuni inayoweza kumsaidia mtu kufanya background check?
  12. Ntwa A. Katule

    Aliyetumia Silent Ocean - naomba msaada wa ufafanuzi

    Kwa kusema hivyo mfano box langu ni 0.5 x 0.7*0.5 , nitayopata nazidisha mara 450. Kwa uzoefu ako, kuagiza loose cargo moja moja kwa moja ambapo supplier ndo anakutafutia wa kutuma mzigo au kutumia Silent ocean ipi ni nafuu? Na ipi usafirishaji wa mzigo unakuwa wa haraka zaidi?
  13. Ntwa A. Katule

    Mnaonunua Alibaba na Aliexpress; Je, washaanza kutuma bidhaa baada ya corona?

    Ila unakuwa umepoteza muda sana. Yaani miezi mitatu minne unakuja kugundua ulichoagiza huwezi kukipata. Vipo ambavyo supplier alishindwa ku deliver aka cancel order baada ya miezi miwili. Kuna vingine nilipotaka ku complain, suggestion niliyopea ni kuwa mpole tu maana covid 19 imeathiri supply chain
  14. Ntwa A. Katule

    Mnaonunua Alibaba na Aliexpress; Je, washaanza kutuma bidhaa baada ya corona?

    Sidhani. Nimenununua vitu mwishoni mwe February aliexpress mpaka hii leo sijavionaa
  15. Ntwa A. Katule

    Kuhamisha pesa kutoka M-Pesa - CRDB

    Tatizo sio teknolojia, tatizo ni business process inayotumia hiyo teknolojia, je kuna sera yoyote ya refund. Teknolojia hufanya kazi vyema kama mifumo ndani inafanya kazi vyema
  16. Ntwa A. Katule

    Shirika la “One Acre Fund” na shughuli za kiutapeli kwa wakulima wadogowadogo, Singida

    Nafikiri kuna misconception hapa ya tafsiri ya vitu. Not for profit haieleweki vizuri. NGO inaweza kufanya biashara si kwa lengo la kuwalipa wanahisa bali kwa lengo la kussuport sustainability na si faida kama faida ya biashara inayolipa kodi unless wawe na mfadhili ambaye anawapa tu hela. Wana...
  17. Ntwa A. Katule

    Una bidhaa na wateja haba? Ukifuata mtindo huu hapa utapata matunda ya haraka zaidi

    Yes uzi mzuri. Na hii ina apply hata kwa mwenye biashara established. Mteja anapokuja dukani kwa amra ya kwanza hakikisha unahukua details zake na pengine alichonunua. ext time ukiwa na discounts au offers uaanza na hao wateja wako, unawatumia jumbe kuwajulisha.
  18. Ntwa A. Katule

    Tofauti ya makato kati ya kutoa pesa kwa mawakala na kutoa kwenye ATM

    Kusema ukweli yaani bora tu mtu uende ATM kama haipo mbali. Lasivyo utakuta unatumia pesa mingi kwenye transaction charges
  19. Ntwa A. Katule

    Natafuta kazi nina Shahada ya pili ya Takwimu

    Ushauri wangu fungua account ya linked in weka details zako. Kule fanya subscribe kwenye kazi za data, data science ili upate alerts. Unaweza ukatafutaonline courses kama za Udemy ukajifunza machine learning pia maana ukiwa na statistics ni rahisi kuilewa. Usiache hiyo stats ikalala, maana...
  20. Ntwa A. Katule

    Biashara ya Usafirishaji wa Mizigo kwa Malori Makubwa: Jifunze Uzoefu, Miongozo, Faida na Changamoto Zake

    Similiki hizo gari, ni ngumu kushaurii. Ila nimetoa angalizo jinsi anapaswa kunyambua ushauri kutokana na jinsi ushauri unavyoweza ukamyumbisha na kumpoteza mtu hasa usipozingatia kama huyo mshauri hana uzoefu na uweledi wa kushauri kibiashara. Maana hapo kuna gari na kuna biashara. Hivyo vitu...
Back
Top Bottom