Shida wanatoa matamko kisiasa hawa, Waeleze Je ni halali Trafic kukagua leseni? kama ni halali sasa unaanzaje kumyima askari? ye anakwambia naomba nikague leseni then baada ya hapo unajua kinachoendelea ..................Waache siasa wafanya kazi!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.