Na #Mwenda ND,
Huko Uhispaniola kwasasa mambo ni magumu kwa watawala wa taifa hilo (kwanzia Mfalme na Waziri Mkuu) kinachowaumiza kichwa ni jinsi ya kuzima hasira za wakazi wa Jimbo la Catalunya/Barcelona ambao tangu Jumatatu wamefunga mitaa kwa maandamano na kusababisha mambo mengi kukwama...
Hatifungani Ni Nini, Nawezaje Kunufaika Kupitia Uwekezaji Wake? - 2
_____________________________
Na #Mwenda ND,
Mara baada ya kujifunza juu ya nini maana ya hisa, faida na hasara zake. Pia kuna aina nyingine ya dhamana ambayo huuzwa na kununuliwa katika soko la hisa, dhamana hiyo inaitwa...
Hisa Ni Nini, Nafaidikaje Na Uwekezaji huo?
___________________________________________
Na #Mwenda ND,
Nimekuwa nikipata maswali mengi juu nini maana ya hisa na nini faida na changamoto za kumiliki hisa na uwekezaji wa dhamana za fedha (Hisa, Hatifungani pamoja na Vipande) kwa ujumla...
HISA za kampuni ya Acacia PLC inayojihusisha na uchimbaji madini nchini zimepanda bei kufikia TZS 7,000 kwa hisa moja baada ya kushuka wiki iliyopita ambapo zilishuka hadi kufikia TZS 6,750 kwa hisa moja Jumanne ya wiki hiyo kabla ya Jumanne ya wiki kupanda tena. Kampuni hiyo iliyoorodheshwa...
WAKILI NACHIPYANGU AJITOA KESI YA WANAFUNZI WA 'KIU' WANAODAIWA KUMVISHA HIJABU RAIS JOHN MAGUFULI
_____________________________________________
Na #Mwenda ND,
Kesi ya Jinai Namba 65/2016, Kati ya Jamhuri dhidi ya Amenata Harold Konga na wenzake watatu (3) imeendelea Jumatatu ya wiki hii ya...
HATUNA ZAIDI YA NYERERE?
_______________________________
Na #Mwenda ND,
Raiis John Pombe Magufuli (JPM) IJUMAA alinzudua mradi wa umeme katika Bonde la Mto Rufiji (Stigler's Gorge), katika uzinduzi huo uliohudhuriwa na watu wengi kutoka sekta binafsi na serikalini, katika hotuba yake JPM...
NI BAJETI YA 'VITU' AMA WATU?
----------------------------------------------------
Na #Mwenda ND,
Katika Bunge la Bajeti lililoisha Mwezi Jana, Bunge limeidhinisha Bajeti ya Serikali ya Shillingi 33.1 trillioni pungufu ya Shillingi 0.7 trillioni za Bajeti ya Shillingi 32.4 trillioni ya mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.