Mkuu mtoa mada pamoja na mapungufu yake, andiko lake kuna mazingatio. Mifano ipo mingi tu. Wazungu ni watu wabaya, hao hao wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kujieleza, ukienda kinyume nao watatafuta zengwe tu ili kukushughulikia.
Nakumbuka Hugo Chavez alikua mwiba kwa sera za kinyonyaji za WB...
Kuna mdau mmoja aliwahi kuniuliza, miaka ile ya 90 wakat akina Dally Kimoko na Diblo Dibala wanafanya yao huku kwetu Tanzania tulilala? Nikamjibu, hapana na huku tulikua na dansi yetu tamu tu ya Vijana Jazz, Washirika Tanzania Stars, Bimalee na Bantu Group Band.
Nyimbo kama baba Jane No.1 wa...
Kama ni kweli, nampa pole sana Mkurugenzi wake maana najua ni Mhandisi, lakini namsikitikia sana. Hii biashara ya ndege siyo lelemama. Anatakiwa mtu aliyebobea kwenye biashara na Marketing. Watu wa kaliba ya Mchechu ndo angalau wanaweza. Mhandisi mwenzetu tunampongeza kwa kuaminiwa na Mkuu wa...
Mkuu umenitendea haki.
Wimbo wa Madi wa Yondo Babe, aliyecharaza Gitaa ni nani?
Leo nataka kujua marapa hawa nani mkali, wako wapi na wanafanya nini.
1.Tutu Kaludji
2.Bill Clinton
3.Rapa Wa General Defao(Ngkoz wa Ngkozi)
4.Rapa wa Bozi Boziana yule wa Nzawiseee
5.Genta Wenge BCBG(Kama ana...
Nawapa Credit wote wawili.
Je hawa watatu wako hai na kama wako hai wako nchi gani?
1.Dally Kimoko
2.Diblo Dibala
3.Ngouma Lokito
Lakini je hawa nao wa kundi la Soukouss Stars wako wapi?
1.Shimita
2.Balu Canta
3.Salhdin
4.
Mkuu yote hayo ni kweli, lakini kuna shida gani kuweka vyeti mezan ambavyo uzito wake hauzidi hata gram100?
Kwamba issue ya kupambana na madawa ipo, ilikuwepo na itakuwepo na hakuna nayekataa kwa uthubutu alioufanya, anastahili pongezi. Lakini as long kuna allegations, lazima ziwe cleared!
Vita...
Nasikia maeneo mengi, Halmashauri Bajeti inayoisha ambayo ni hizo 22tn/- hawajapata hata 50%, hii inaashiria malengo ya kibajeti hii inayoishia hayakufikiwa. Na, kama hilo ni kweli inaashiria ilikadiriwa makadirio makubwa kuliko uhalisia,jambo ambalo naona linajirudia tena.
Yaani kama kontena lina tani 10 za huo mchanga, basi maana yake ni kuwa humo ndani ni tani 2560 ambapo 90% ni zaid 2300tani za Dhahabu.
Kwa bei ya dhahabu Tsh 90,000,000 kwa kilo basi hizo ni Tsh 2300x90, 000,000x1000 Karibu Trillion 18
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.