ANAPASWA!
ANAPASWA!
Of coz amevunja Katiba!
Au matumizi mabaya ya fedha za umma!
ANAPASWA
Tunajenga hoja pasipo na hoja huku hoja tumewaachia wahojaji!
Twende!
Lakini Kukifungua ni Kukifanya kuwa Productive Tena
Sasa mlitaka Kifungwe?
Je kama Kimefanyiwa ukarabati mkubwa wa upgrades?
Bado kisiwe Cha Kufunguliwa?
Au Tatizo aliyefungua?
Wana Singida mnajali hilo?
Limeni alizeti Bwana!
Malaika ni Mungu ndani ya Malaika
Yaani unaweza kuwa Malaika kiongozi na bado usiwe na kiasi cha uungu sawa na Mungu
Kwa sababu Mungu ni jumla ya vyote
Hakamiliki mpaka vitimie 3
Utatu Mtakatifu = 1 GOD!
But Ni Bora kuwa na Positive Altitudes!
Kuliko kutamani au kujitakia mabaya tu...
Jamani kuna tetesi nimezipata toka kwa rafiki yangu aliyeko jijini Mwanza kwamba kuna wimbi la utekaji wa watu. Nasema ni tetesi na sijajua vyema kama kuna ukweli au la.
Ila nilisikia Clouds kama wiki moja ilopita kwamba kuna upigaji nondo huko huko jijini Mwanza. Pliz mliopo huko tupeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.