Katika kukua kwangu,ujana na mpaka Sasa Kuna baadhi ya nyimbo hazijawahi kuchuja katika kuzipenda na kuzisikiliza.kwa upande wa bongo fleva napenda mno za zamani kuliko za sasa.kwa upande Zouk Kuna Oliver Ngoma huyu jamaa alizaliwa 1959 na kufa 2010 lakini nyimbo zake zinaishi mpaka leo Kuna...
Wakuu sisi wakongwe Kuna ladha tunaikosa sasa kwenye sanaa.tukumbushane nyimbo gani zilibamba kipindi hicho.binafsi mpaka sasa nasikiliza wakongwe tu.hizi ni baadhi ya zilizobamba na nilizipenda.kuna jirushe,starehe,njoo,boss za feruz,kamanda barua na nipe gwala za daz nundaz,wife,namba 8 na...
Zamani ndio ulikua music kwelikweli hasa bongofleva.ombi toeni ngoma kama zamani.mpo wengi lakini mpaka sasa nasikiliza ngoma za juma nature a.k.a kibla(kiroboto),prof Jay,Juma mchopanga a.k.a Jay Moe,Rashid Makwilo a.k.a Chidi Benzi(huyu mnyama hatari mno pengo lake halizibiki), MB...
Napenda mziki mzuri na video nzuri.kwa ufupi Hawa jamaa(Diamond na Fally Ipupa)wanajua Sana kuimba na kutoa video kali Sana ila ya inama ni video mbaya Sana labda walikua wanaogopa kufunikana.Quality mbovu mataa mengi,rangi nyingi hujui mchana na usiku ni upi,Fally sio yule tunayemjua wa...
Wazuu nawasalimu sana.kwa ufupi kuna maneno ya kimichezo ukiyasikia ata kama MTU hapendi mpira lazima afatilie mfano kunyanyua kwapa(kubeba kombe),jicho mwewe(pasi ya uhakika),pass ya sambusa(pass inayokata kona kumfata mlengwa).nawakaribisha sana
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Nina umri wa miaka 28 mwajiriwa, kwa kipindi nimekuwa natafuta mchumba na mke wa kumuoa bila mafanikio. Nimekuja rasmi kwa jukwaa hili kutangaza kwamba hili jimbo ni huru nataka mchumba na mke wa kuoa lakini pia kwa kifupi natamani sana kuoa mwanamke...
Wana jukwaa habari zenu?kwa wafuatiliaji wa hii series nimefika season.ya nne cjaielewa kabisa.ufafanuzii plz maana mara waonyeshe vitu vilivyopita,mara vijavyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.