Search results

  1. madhabaunyeusinyeusi

    Tawala za inchi hii naambatana na udini

    Kuna ka kitu nimekagundua maraisi wote walio pita walikua na uwiano Wa kidni ingawa inchi yetu haingozwi kidini awamu ya kwanza baba Wa taifa mkristo akaja muislamu,akaja mkristo,akaja muslamu,akaja mkristo nafikiri awmua ya sita,,,,,,,? Wana JF au viongozi wa dini hizo huwa wanshirkishwa kuleta...
  2. madhabaunyeusinyeusi

    Je? ukijaribiwa hivi na shetani

    Katika maaandiko takatifu yesu arijaribiwa na shetani kwa kumuambia badli jiwe hill kua mkate lakini aksema siwezi mjaribu bwana mungu wangu, JE? kama wewe mwana JF ikatokea shetani akakujaribu kila jani la mwembe kua noti ya ELFU KUMI umsaliti mwokozi wako kwa haraka nini utafanya?
  3. madhabaunyeusinyeusi

    Natumia Siku nzima kugegeda

    Naombeni ushauri hua natumia Siku nzima kugegeda mzigo wangu kama masaa 24 au narudia tendo zaidi ya mara 6 lakini nikimaliza nauwezo Wa kaa miezi 2 vipi wana JF ni tatizo hlo?
  4. madhabaunyeusinyeusi

    Taratabu za kulipwa baada ya kupanda daraja

    Wana JF, Nomba ushauri, nilipandishwa daraja 2011 toka daraja iii nakua ii halmashauri fulani lakini baada ya kudai marekibisho ya mshahara utumishi akaniandikia barua kua nipeleke cheti cha shahada ndipo nibadilishiwe mshahara na nilipandishwa nikiwa diploma. Hivyo nichukue hatua gani wana JF.
Back
Top Bottom