Du! Kweli mkuu wasomi wengi walipoteza muda kule mashuleni kutafta utajiri Wa vyeti na wasio soma walitumia muda mwigi kutafuta pesa na utajiri wa mali na kibaya zaidi wasomi walio wengi ni wavivu mnoo at a kuuuza nyanya tu kipndi cha jioni wanaona aibu ndio chanzo cha umaskkni
Kuna ka kitu nimekagundua maraisi wote walio pita walikua na uwiano Wa kidni ingawa inchi yetu haingozwi kidini awamu ya kwanza baba Wa taifa mkristo akaja muislamu,akaja mkristo,akaja muslamu,akaja mkristo nafikiri awmua ya sita,,,,,,,? Wana JF au viongozi wa dini hizo huwa wanshirkishwa kuleta...
Du! Ndio maana wanasema msianze mahusiano mkiwa masoni sasa hilo ni tatizo na jamaa ana umia kisaikoloji Labda utafute mwingine,afu wewe usome acha ujinga bado ni mdogo sana zingatia elimu,"sawa binti yangu"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.