DAH poleni sana vijana wote ambao mnasubiri ajira za serikali kutokana na matumaini za hap na pale zinazotolewa na serikali. Muhimu muwe tayari na plan B kwa sababu kila dalili inaonyesha serikali hii haina uwezo wa kuajiri waajiri wapya isipokuwa porojo tu.
wanafundisha vizuri, ila hili swala la kufundishwa vizuri kiukweli na juhudi zako ndicho kinachohitajika sana kuliko hata lecturer, soma sana vitabu na unapaswa uwe flexible sana mambo ya teknolojia huwa yanabadilika kwa hiyo unajikuta unatakiwa uwe tayari kujifunza kitu kipya kila mara kama...
Mkuu ndio maana unaambiwa unatakiwa kupekecha kichwa vizuri, kwa mfano kwenye IT kuna computer graphics, hapo jiulize kama una ujuzi huo kwa nini usitengeneze katuni za kiswahili na ukaanza kuziuza kwa ajili ya watoto kibongo na nakuhakikishia wateja hutokosa, unaweza kuona kama wazo la kijinga...
University of Dar-Es-Salaam Computing center(UCC) kipo mtaa wa azikiwe kwa dar, pitia hiyo website kwa maelezo zaidi
University of Dar es salaam Computing Center
ajira za kuajiriwa upande wa IT ni chache sana na ngumu kupata, japokuwa ina fursa nyingi kama ukipekecha kichwa vizuri hela ya kula hukosi, kikubwa kama unasoma hiyo kozi malengo yako makubwa yabase kwenye kujiajiri kuliko kuajiriwa, ila kama unataka kuajiriwa kwa haraka basi soma kozi za afya...
hoja ipo kama ilivyo andikwa, kwamba kuna upinzani ambao hauna uwezo wa kuleta mbadala wowote.
Nipo sawa, huu upinzani uliopo sasa hauna uwezo wa kuleta mabadiliko yoyote.
kwa nini mi niwe na jibu, ww ndio mwenye jibu la kudhani mtu ambaye yupo tofauti na huu upinzani uchwara uliopo sasa kuwa...
Upinzani hauwezi kujiweka mbali hasa katika maeneo ambayo wanayashikilia, kama wanashindwa kuonyesha "DEMO" ya njia mbadala waliyo nayo watawazaje kuwaminiwa kupewa nchi, unadhani maendeleo yanakuja kwa kuongea jukwaani bila kuonyesha utofauti wa hayo maneno katika uhalisia japo kwa mfano mdogo.
kwa hiyo lengo lako ni kubadilisha chama ambacho kipo madalakani? hivi ni kweli huu upinzani ambao tunao hapa TZ una uwezo au njia mbadala wa kutatua matatizo yanayoikumba tanzania kwa maana hata maeneo ambayo upinzani wameshikilia (wanatawala) hakuna tofauti na hizo za ccm, kwa mfano hapa DAR...
ikifika mwezi wa tatu na mkaona series ya uhakiki haifiki mwisho, nawashauri msipoteze muda tena kusikiliza maneono ya viongozi wa serikali hii na mjitahidi kutafuta kitu cha kufanya cha kukuingizia kipato kuliko kufanywa kama mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.