Naomba kuuliza kama kuna uhusiano wowote kati ya acid reflux na matezi kuvimba chini ya mataya (submandibular lymph nodes)?
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la acid reflux kwa kipindi cha miezi 5 na nimekuwa nikitumia dawa(antiacids &antihistamines) na shida imepungua..
Ila kipindi chote hicho...
habari zenu wana MMU..
Nadhani kwa mtu yeyote aliyesoma boarding schools au hata kama hukusoma basi utakuwa umesikia hili swala la kuwekewa mafuta ya taa kwenye chakula ili kupunguza ny*ge(mihemuko ya kimapenzi) kwa wanafunzi!!
Je kuna ukweli wowote kwamba yanasaidia?..maana mi nakumbuka...
Je, kuna uhusiano wowote kati ya kukojoa kitandani kwa mwanaume anapokuwa mtoto mdogo na kuwahi kufika kileleni(kupizi) wakati wa tendo la ndoa anapokuwa mtu mzima?
Je, nini suluhisho la matatizo haya?
dada angu nadhani utakuwa mjamzito..birth control kwa njia ya kalenda haiko effective sana na sio relliable, maana ovulation period zinapishana sana kutoka kwa mtu mmoja na mwngn(ke)..cha mhm nenda hospital kapime tu mimba ili uweze kuwa na uhakika zaidi.
HABARI ZA JPILI WAKUU,
ETI IS IT POSSIBLE KWA MWANAMKE MWENYE MZUNGUKO WA HEDHI WA SIKU 28/29 KUPATA MIMBA IWAPO ATAFANYA MAPENZI SIKU YA 23?
naombeni msaada wenu wa kitaalamu na wa kimawazo pia ktk hilo..maana mpnz wangu haoni siku zake leo siku ya pili sasa amekuwa na wasiwasi sana..hali hii...
swali la kwanza:nini hasa kinachochangia kupasuka kwa condoms wakati wa tendo la ndoa??
swali la pili:by any chance mwanamke anaweza kupata mimba akiwa ktk siku ya 22 au 23 ktk mzunguko wake??
me naona mtu hana haki ya kusema post ya mwenzake ni pumba..kila mtu ana mtazamo wake ktk mambo tofauti..wengine hzo unazoita pumba znatuentertain pale tunapokuwa na stress zetu!!..kila mtu akiwa serious humu jukwaa litaboa banaa..
habari zenu wana-jamvi!
Eti unawezaje kumshauri mtu jinsi kupunguza hasira(i mean kukasirika haraka au hasira kali) na kuwa na wivu kupindukia hasa ktk mapenzi??..nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.