Naomba nikumbushwe kidogo hapa, hivi wale wanao pigwa mawe mpaka kufa kule uarabuni kwa tuhuma za ugoni huwa wanavuliwa kwanza hizo hijabu?na mahakama ya kadhi imeisha anza hapa Bongo?
Kwani Fatuma au Fatima ni jina la Kiislamu au la Kiarabu? inamaana waarabu wote ni waislamu? Mbona kuna waislamu waingereza wanaitwa John,Davis au Joseph na kama kumkamata huyo mama kumedhalilisha uislamu alikamatwa akihubiri Msikitini? acheni sheria ichukue mkondo wake msiingize mambo ya udini.
Hivi nitakuwa na akili sawa sawa,ninunue mafuta TShs 12,000/= wakati jirani yangu ana taxi au dala dala ambalo anaweza akanunua yeye alafu akanifaulishia? Jaribu kubuni upya.
Hakuna mwenye ajira pale,mtaji wao ni mike hivyo kila mtu anakula kwa jasho lake ukiwa mjanja wa kutafuta mdhamini wa kipindi ndiyo unapewa % yako other wise utakula jeuri yako waulize wasanii wanavyo daiwa fedha ili warushwe hewani ndiyo utajua jamaa nuksi.Na wengine wanawalazi misha wasanii...
Zaidi ya hayo Filamu zenyewe zimetungwa na kuandikwa ndani ya wiki moja! Actor mmoja anauwezo wa kutoa filamu mpaka tatu kwa mwezi halafu anajiita Super Star!
Frankly speaking TZ Hao wanaoitwa mastaa hakuna actor hata mmoja wao wanashindana kupiga picha tu anaye piga picha nyingi ndiye staa!Kuna watu hawana majina wanafunika ile mbaya tatizo soko kashika mdosi nahao BASATA na BODI ya FILAMU hawana la kusema kwa mdosi wanaburuzwa tu.sijui kama filamu...
Kweli viumbe wa MUNGU wanaangamia kwa kukosa maarifa,huyo babu kamfanya MUNGU mjomba wake wa kuonana naye anapotaka yeye,leo kaoteshwa dawa kesho ataoteshwa awacharaze viboko wote! kwa akili za kawaida mnafikiri dawa ni shs.500/= lakini hamjui mmepoteza kiasi gani kuipata hiyo dawa. Watu wameuza...
Si afadhali na huyo komba,kuna mtu anahistoria ya ujambazi mwenyewe anajisifia mtu wa kumwaga mapesa na sidhani kama alimaliza hata darasa la saba! yaani wabunge wa sisiemu wapo wa kila idara mpaka wapiga ramli. sasa hicho chama au msafara wa mamba?
Sasa mnatarajia afanye kazi gani wakati kunawatu wanamuamini na hawawezi kuendesha maisha yao bila kumuuliza huyo mganga wao mpaka siku wataisha watu wenye imani naye ndiyo itakuwa mwisho wa kazi yake.
Hivi nyie mnafikiri wamependa kujivua hilo wanaloita gamba? sasahivi wapo mguu nje mguu ndani tabasamu yote imeenda na upepo sasa wanakimbia vivuli vyao wenyewe!
Sio Trafiki tu, kuna wale wanao patrol na piki piki wanawaita tigo fasta, wakiwaona huwa wanapita tu wao wako bize na kuangalia Road licence na bima kama imeisha. Wana uwezo wa kusoma vibali vya kwenye vioo vya gari hata umbali wa mita zaidi ya kumi.
Nikweli hajashika mtu mkono lakini kuwahimiza watu wakapate kikombe ndiko kuwashika mkono huko! na mna uhakika gani kwamba walio tangaza kuwa wamepona hawako mpango mmoja na huyo Babu ili mwisho wa siku waje wagawane mapato? maana nasikia kunamtu kateuliwa kuyatunza haijatoka hata senti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.