Niseme tu ukweli. Nina hamu sana kukutana na huyu msanii. Mimi ni mmoja wa shabiki wake wa siku nyingi, nahitaji kukutana naye na kumpongeza.
Nimpe Mbege ya kwetu.... Nifurahi na msanii....
Yaani inatia hata RAHA. Yuko jamaa yangu mmoja aligombea uraisi pale CBA kwa kivuli cha CCM aligarazwa vibaya sana na mwenzie aliyeshindana naye kwa kivuli cha CHADEMA. Safi sana CHADEMA. CCM inachukiwa na kila mtu... hata mtoto aliyezaliwa leo.
Most 'First Class' students get technical seats, some become Doctors and some Engineers.
* The 'Second Class' pass, and then pass MBA, become Administrators and control the 'First Class'.
* The 'Third Class' pass, enter politics and become Ministers and control both.
* Last, but...
Chonde Chonde mheshimiwa JF. Ukombozi wa Misri ulipatikana kwa kutumia fursa kama hii, CCM wanajua hili. Tusipuuze tishio la CCM juu ya Jamii Forum, wanaweza kufanya lolote lile kwani ni wanganganizi kama swahiba wake JK, Mr. Ghabgo.
Ombi langu kwa mwenye server ya JF ni kuwa anahakikisha...
Hivi huyu Babu muda wake unaisha lini? Kakaa sana kwenye huo wadhifa.
Wana JF nawaombeni mnijuze mchango wake katika kujenga DEMOKRASIA YA TANZANIA kadhalika na wasifu wake.
Wakati nikiwa naelekea town hapa Dar niliona Bendera za CCM zikipamba baadhi ya barabara. Mwenye taarifa naomba atujuze. Kulikuwa na maandamano ya CCM au Vikao vya CCM.
NB: Japo najuta kutawaliwa na CCM ni vizuri pia kujua wanafanya nini.
Hakika mwenendo wa taifa letu tangu tupate uhuru miaka 50 iliyopita haileweki kwa kila kukicha. Maisha yamezidi kuwa duni na magumu. Kuwa na mfumo wa Kisiasa wa vyama vingi kigeresha. Kwamfano, suala la kikatiba inaonyesha serikali ya CCM inajitengenezea katiba kwa mipango ya kutawala milele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.