Poor reasoning kwaiyo kama kuna watu wanalipwa laki 5 na yeye ndo asiseme mshahara mdogo. Angalia value ya kile mtu anacho fanya sio kufananisha mshahara na watu wengine. Kuna watu wanalipwa million 10 na bado wanalalamika mshahara mdogo.
Back to the topic Feisal anahaki ya kulalamika it...
Account yake hii hapa, ni nouma; imebidi niishie katikati maana ni ufirahauni ulio pitiliza 😔
NB. Tuombe dua tupate watoto wemu maana ukipata kama huyu ni laana
Yeah, unstall app yako, kisha nenda kwenye google chrome kisha search Jamii forum, press the first link you see ambayo ni link ya jamii forum browser, kisha nenda upande wa kulia kuna dots 3 press kisha utaona download app ndo u-download sasa
Maelezo zaidi fata link aliyo weka Maxence Melo
Hello Guys incase ukikumbana na changamoto za kupata new version ya Jamii Forum kama mimi please fata hatua zifatazo:-
1. Kama ulikuwa unatumia App kama mimi please unstall it
2. Weka kumbukumbu vizuri ya email na password yako maana itahitajika kutumika tena ku-log in
3. Futa link iliyowekwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.