kwakua mwanao HAAMBILIKI tunamrudisha mwanao kwako ili tuweze kumlea,iwapo ataendelea natabia hizi atafeli mtihan wake wa mwisho
.pia kosa dogotuuu leta mbolea ya manure
hivi ni kweli kua msipochagua ccm mkachagua chadema mtakosa maendeleo.KIONGOZI MMOJA WA SERILALI ALIONGEA MANENO HAYA KWENYE CAMPEN ,NGOJA TUONEEEEEEEEEEEE
kweli wanawake hampendan,madem wawili marafiki,mmoja kaolewa ,huyu alie olewa ameanza kutoka na boyfriend wa rafiki ake,tena katafuta sababu wakavunja urafik wao,pia anamshaur uyu boy friend amuache dem wake kwa kumpakazia mambo kibao,huyu dem hajui kama best ake anatoka na boyfriend ake,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.